Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
In short and summary...Ngono is to be lovers, but not friends. and Mapenzi is to be friends , but not lovers
In other words ngono is sex-oriented!!!
In short and summary...Ngono is to be lovers, but not friends. and Mapenzi is to be friends , but not lovers
au nimekosea Mahondaw
hahahaha....ngono nayo ina raha yake jaman. Hvyo tusiiseme vbaya sana.In other words ngono is sex-oriented!!!
Unajua kuna msemo mmoja unasema hivi " if something is wrong it is wrong, even if evryone does it. If something is right, it is right even if nobody does it"
Tunaovuruga haya ni sisi wenyewe kwa kulishana sumu na mwisho wa siku ndio vurugu zote hizi. Mimba zisizotarajiwa kufumaniana magonjwa na kero nyingine nyingi tu.
hahahaha....ngono nayo ina raha yake jaman. Hvyo tusiiseme vbaya sana.
MAPENZI Ulaya. Africa BIASHARA!
-Kaveli-
Ina maana ulaya hawa-cheat au wote wapo kwenye group A alilotaja mleta thread.Acha mawazo ya kizamani nani kakwambia hao watu ni perfect katika kila kitu.
Umepatia..
hata na mm nduki maana hapa sina kundi.