hata asipohatarisha tayari maisha yake yameshazungukwa na hatari toka alipozaliwa tanzania.
he he he hivi kumbe kuzaliwa tz upo hatarini!!!!
na ukitaka kujua ni hatari kihalisia subiri mbio za urais zichanganye.he he he hivi kumbe kuzaliwa tz upo hatarini!!!!
Ukizaliwa Bongo asilimia 60 ya maisha yako hatarini
Anahatarisha maisha yapi ambayo hayana hatari hapa bongo?Anahatarisha maisha.....
Anahatarisha maisha yapi ambayo hayana hatari hapa bongo?
.hata asipohatarisha tayari maisha yake yameshazungukwa na hatari toka alipozaliwa tanzania.
Anasoma Kigamboni,hapo imebidi adandie hiyo DCM ya Gongo la Mboto/Kivukoni angalau awahi nyumbani!
ukitaka kuhakiki usemi wako nenda pale mapokezi ya bungando au seketore hospt ndo utajua .he he he hivi kumbe kuzaliwa tz upo hatarini!!!!
Ukizaliwa Bongo asilimia 60 ya maisha yako hatarini