Acha DOGO Akasome, BONGO LAANA TUPU

Acha DOGO Akasome, BONGO LAANA TUPU

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
15481_348749961890441_1718849938_n.jpg
 
Anasoma Kigamboni,hapo imebidi adandie hiyo DCM ya Gongo la Mboto/Kivukoni angalau awahi nyumbani!
 
hata asipohatarisha tayari maisha yake yameshazungukwa na hatari toka alipozaliwa tanzania.
.

Ni kweli mkuu kuzaliwa Tanzania ni hatari tupu hasa pale unapozaliwa katika mazingira ya umaskini.....Tunaishi kwa neema
 
sure wanapata shida sana hawa watoto sio siri serikali inatakiwa waliangalie hili kwa jicho la tatu vinginevyo elimu itazidi kudolola hapa nchini.
 
Imenihuzunisha sana, angeweza kutoroka au kuamua kutokwenda shule. huyu atakuwa mwenye mafanikio sana baadae
 
Anasoma Kigamboni,hapo imebidi adandie hiyo DCM ya Gongo la Mboto/Kivukoni angalau awahi nyumbani!

Huyu atakuwa ni ka-Mura kadogo kamezoea zile baiskeli zao zenye viti virefu kutokea Kitunda..!:becky:
 
Ukizaliwa Bongo asilimia 60 ya maisha yako hatarini

Mkuu na wanaozaliwa Somalia au Afghanstan watasemaje?, jaribu kushukuru Mungu kwa kuzaliwa mtanzania ambaye akisikia mlio wa bunduki anakimbilia kwenda kushangaa wakati mwenzie wa somalia anatafuta pa kujificha kuokoa maisha yake, kama ni matatizo ya kiuchumi au kisiasa yapo nchi zote duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom