Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 788
- 1,999
Tangu dunia iumbwe binadamu kiasili niwashindani (competitive nature) kuna ushindani mkubwa sana katika, utafiti, uzalishaji, ubunifu, utamaduni na vita. Kuna nchi duniani nimaarufu kwa uzalishaji wa silaha za ulinzi na kushambulia. Hapa tutaangalia ushindani wa hawa mafahari wawili yaani Urusi na beberu mkuu USA nani mwenye silaha bora kwenye uwanja wa medani, case study ni Urusi Ukraine war.
Russia anasifika kuwa na artillery bora zaidi kuliko zile za mabeberu hili limedhibitika kwa ugumu wanaopata ukraine kuvunja ngome za ulinzi za Russia kwenye annexed territory.
Lakini pia portable an't tank guided missile weapons kama St javelin zimeleta msiba mkubwa kwenye vifaru, APC na magari ya kijeshi.
Nakaribisha maoni ya wajuvi wa silaha kuleta fact kuona na wapi tunaweza kupata silaha bora kwa Sasa, kama huna uelewa hata kidogo tafadhali usichangie utaharibu mjadala.
Russia anasifika kuwa na artillery bora zaidi kuliko zile za mabeberu hili limedhibitika kwa ugumu wanaopata ukraine kuvunja ngome za ulinzi za Russia kwenye annexed territory.
Lakini pia portable an't tank guided missile weapons kama St javelin zimeleta msiba mkubwa kwenye vifaru, APC na magari ya kijeshi.
Nakaribisha maoni ya wajuvi wa silaha kuleta fact kuona na wapi tunaweza kupata silaha bora kwa Sasa, kama huna uelewa hata kidogo tafadhali usichangie utaharibu mjadala.