Jiangalie kwenye list yao ya waliochaguliwaNdugu, mbona kwenye account za SUA hawajaweka comment kama mwombaji amepata au la?
Uko kozi gani kiongozi hapo..?Karibuni sua
Nilisha graduateUko kozi gani kiongozi hapo..?
Vip malecture hawazingui sanakaribu sua 😅😅 ije usome tu hakuna namuna
we njoo tu hamna namnaVip malecture hawazingui sana
Mkuu kuna dogo amechaguliwa hapo SUA, Bsc.Human Nutrition, hebu nipe ABC kuhusu hii kozi nimshawishi dogo aipige, hasa uwanja wa kujiajiri na kuajiriwa na vipi waliopiga hii kozi ni marketable na hii kozi una deal hasa na nini??we njoo tu hamna namna
kwanz na mkaribisha dogo kwenye depertment. hii kozi inadeal na mambo ya lishe kwanzia kwa wtoto watodo mpaka wazee. wana jua matatizo yanayo sababishwa na upungufu wa nutrient fulani au excess yake jinsi ya kufanya uchunguzi wa kisayance saiz kwa kugundua metabolites za hiz nutrients.Mkuu kuna dogo amechaguliwa hapo SUA, Bsc.Human Nutrition, hebu nipe ABC kuhusu hii kozi nimshawishi dogo aipige, hasa uwanja wa kujiajiri na kuajiriwa na vipi waliopiga hii kozi ni marketable na hii kozi una deal hasa na nini??
Sawa sawa mkuu, serikalini wanaajirika?kwanz na mkaribisha dogo kwenye depertment. hii kozi inadeal na mambo ya lishe kwanzia kwa wtoto watodo mpaka wazee. wana jua matatizo yanayo sababishwa na upungufu wa nutrient fulani au excess yake jinsi ya kufanya uchunguzi wa kisayance saiz kwa kugundua metabolites za hiz nutrients.
kazi ni mashikira mbali mbali ya vyakula pia hospitalini ni kama doctor vile kwenye clinic mbali mbali kama doctor Mwaka pale nutrionalist wapo wengi tu.
Sikuhizi hakuna ajira huo ndo ukweli asome tu kwa manufaa na ujuzi wake labda kidogo kozi za afya ajira zilikuwa nyingi awamu ya NNESawa sawa mkuu, serikalini wanaajirika?
Hio department ya food science, human nutrition, na fammly consumer ilikuwa na watoto wazuri kipind nasoma sjui sahiv kukoje hukokwanz na mkaribisha dogo kwenye depertment. hii kozi inadeal na mambo ya lishe kwanzia kwa wtoto watodo mpaka wazee. wana jua matatizo yanayo sababishwa na upungufu wa nutrient fulani au excess yake jinsi ya kufanya uchunguzi wa kisayance saiz kwa kugundua metabolites za hiz nutrients.
kazi ni mashikira mbali mbali ya vyakula pia hospitalini ni kama doctor vile kwenye clinic mbali mbali kama doctor Mwaka pale nutrionalist wapo wengi tu.
Bibi/babu lisheMkuu kuna dogo amechaguliwa hapo SUA, Bsc.Human Nutrition, hebu nipe ABC kuhusu hii kozi nimshawishi dogo aipige, hasa uwanja wa kujiajiri na kuajiriwa na vipi waliopiga hii kozi ni marketable na hii kozi una deal hasa na nini??
iyo family consumer ni kwere vigori tupu wakifuatiwa na human nutritionHio department ya food science, human nutrition, na fammly consumer ilikuwa na watoto wazuri kipind nasoma sjui sahiv kukoje huko