Account yangu imeingizwa boom mara mbili batch 2&3

Account yangu imeingizwa boom mara mbili batch 2&3

Taylor king

Senior Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
102
Reaction score
128
Habari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!
032df36991a6f59546418415e44f9ed8.jpg
 
Habari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!
032df36991a6f59546418415e44f9ed8.jpg
Kuwa mwaminifu, nenda kwa mhasib wako wa chuo,,,,then umueleze kilichotokea
 
For God sake watanisamehe na withdrawal yote,

japo wanaweza waka compensate kwenye boom lijalo(hii siipi kipaumbele sana), ama wakawasiliana na mamlaka ya chuo kujua wana solve vipi hizo complicity
 
Hiyo ni pati ya kimya kimya. Kula hiyo pesa dogo. Niliwahi kuingiziwa pesa mara mbili mwaka 2006! By then tulikuwa tunapata boom dogo sana ilikuwa laki na nusu kitu kama hicho. Of course kwenye kulipa wakiangalia statement yako utakuja kulipisha but that will be in the next ten years!
 
Habari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!
032df36991a6f59546418415e44f9ed8.jpg
kama umepata mara mbili jua lazima kuna mwanafunzi mwingine aliyetakiw kupewa ila muamala ulikosewa.. later kama aliyekosa akiifuatilia t will be traced back to ur a/c... Kua mwaminif ureport kwa muhusika na kama u don't plan to, tulia ila usiitumie for now...
 
Dogo kula hizo pesa.

Zitumie vizuri endapo wakigundua hutapewa linalofuata maana lishaingia hilo.
 
duh the world is not fair yaani wengine hawajapewa hata senti ww umepewa mara mbili dah....
 
ushauri wangu, save it for the future, ukae ukijua kabisa bumu linalofuata hautapata, audit huwa inafanyika na ni lazima wata i trace kwenye account yako, huu ushauri nimekupa kwa sababu uneshaonyesha dalili za kutaka kuipiga

ukitaka kila kitu kiende sawa ka report sehemu husika, waichukue hela yao, hizo batch zinazofuata ni muhimu sana kwako kuliko kuwa blacklisted kwa utapeli
 
ushauri wangu, save it for the future, ukae ukijua kabisa bumu linalofuata hautapata, audit huwa inafanyika na ni lazima wata i trace kwenye account yako, huu ushauri nimekupa kwa sababu uneshaonyesha dalili za kutaka kuipiga

ukitaka kila kitu kiende sawa ka report sehemu husika, waichukue hela yao, hizo batch zinazofuata ni muhimu sana kwako kuliko kuwa blacklisted kwa utapeli

Yeye sio tapeli bhanaaa HESLB ndio wamejichanganya,
Kwake ni jaribu la uaminifu tu.
 
Hiyo ni pati ya kimya kimya. Kula hiyo pesa dogo. Niliwahi kuingiziwa pesa mara mbili mwaka 2006! By then tulikuwa tunapata boom dogo sana ilikuwa laki na nusu kitu kama hicho. Of course kwenye kulipa wakiangalia statement yako utakuja kulipisha but that will be in the next ten years!

Nyakati zimebadilika isije ikawa soo ya kukufutia mkopo kabisa. Kwa serikali hii rudisha tu yaishe.
 
Back
Top Bottom