Muda mwingine ni uzembe tu wa watu?Wala sio mara zote wanakua hacked
HOW?unakuta mtu anaazima laptop ya mtu au kaenda internet cafe,baadhi ya browser mfano firefox ina option ya kusave password for future use,
sasa kama ume log in facebook,na uka log in ktk email yako uliyotumia kusajili facebook?nikipata hizo taarifa zako nina uwezo wa kubadili password ya fb na email yako.