Account and finance Vs Account

Account and finance Vs Account

Joined
Mar 11, 2016
Posts
53
Reaction score
45
Naomba kuhuliza najua umu kuna kaka zetu na dada zetu wenye uwelewa mpana hivi mtu aliyesoma account and finance amamzidi vitu vingi mtu aliyesoma account pekee naomba mnijuze nipo njia panda nisome account and finance au nisome account tu

Naomba ushauri wenu watu mliosoma masomo ya biashara
Najua kuna watu wataziaki wengi mtatukana mm cjari hayo Wengine makwetu akuna watu waliosoma ndomana tunakuja uku kuomba ushauri
 
Inaitwa Accounting and Finance au Accounting. Accounting na Accounts ni vitu tofauti japo vinashabihiana.

Accounting and Finance inahusika na Masuala ya uhasibu na Fedha ikimaanisha utasomea Njia mbali mbali na mbinu na mipango ya kutafuta rasilimali fedha za kuendesha na kusimamia Taasisi pamoja na namna na taratibu za kutumia fedha hizo na namna ya kutaarifu matumizi hayo( Preparation of Financial reports).

Accounting inahusika zaid na masuala kurekodi miamala ( business transaction) kwa kufuata taratibu na baadae kuripoti.

Kama unajiweza zaidi na unataka kuwa na wigo mpana zaid wa ufahamu nakushauri fanya degree ya Accounting and Finance japo kwa Vyuo vingi vya hapa Tanzania ukitazama course wanazosomesha zinakuwa kama sawa tu hakuna tofauti japo ipo tofauti
 
Wapo Sawa. Ni majina tu. Ila usisome finance peke yake itakurudisha nyuma ukija kutaka kusoma CPA
 
Inaitwa Accounting and Finance au Accounting. Accounting na Accounts ni vitu tofauti japo vinashabihiana.

Accounting and Finance inahusika na Masuala ya uhasibu na Fedha ikimaanisha utasomea Njia mbali mbali na mbinu na mipango ya kutafuta rasilimali fedha za kuendesha na kusimamia Taasisi pamoja na namna na taratibu za kutumia fedha hizo na namna ya kutaarifu matumizi hayo( Preparation of Financial reports).

Accounting inahusika zaid na masuala kurekodi miamala ( business transaction) kwa kufuata taratibu na baadae kuripoti.

Kama unajiweza zaidi na unataka kuwa na wigo mpana zaid wa ufahamu nakushauri fanya degree ya Accounting and Finance japo kwa Vyuo vingi vya hapa Tanzania ukitazama course wanazosomesha zinakuwa kama sawa tu hakuna tofauti japo ipo tofauti
asante sana nimekusoma
 
Inaitwa Accounting and Finance au Accounting. Accounting na Accounts ni vitu tofauti japo vinashabihiana.

Accounting and Finance inahusika na Masuala ya uhasibu na Fedha ikimaanisha utasomea Njia mbali mbali na mbinu na mipango ya kutafuta rasilimali fedha za kuendesha na kusimamia Taasisi pamoja na namna na taratibu za kutumia fedha hizo na namna ya kutaarifu matumizi hayo( Preparation of Financial reports).

Accounting inahusika zaid na masuala kurekodi miamala ( business transaction) kwa kufuata taratibu na baadae kuripoti.

Kama unajiweza zaidi na unataka kuwa na wigo mpana zaid wa ufahamu nakushauri fanya degree ya Accounting and Finance japo kwa Vyuo vingi vya hapa Tanzania ukitazama course wanazosomesha zinakuwa kama sawa tu hakuna tofauti japo ipo tofauti
kama utojari naomba uni pm ningependa kukuhuliza baazi ya vitu sijui namna ya ku pm ndomana nimekuomba nategemea msaada wako kiushauri
 
Mimi nilisoma Economics.. ila i sense kwamba ukisoma Account utakuwa unamzidi sana mtu aliyesoma Finance. So achana na Finance, soma B.Com Account
 
Soma bcom in accounts.
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance
well said!
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance
asante kwa ushauri wako nimekuelewa bro
 
hujui ukisemacho....na hio ndio tofauti ya udsm na mzumbe,mtu anayesoma b com accounting hafundishwi kwenda kuwa muhasibu bali anafundishwa kwenda kuwa manager ,na hapo nazungumzia kwenda kufanya maamuzi katika taasisi so kusema eti ukisoma accounting utakuuwa muhasibu na utakosa soko la ajira kwa kuwa vitu viko computerized ni uongo kwan maamuzi ni pale kurecord kufanya analysis na ku take action na sio ku record tu transaction
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance
You make sense.. kumbe una akili hivo? Kwenye siasa tu unajitoaga ufahamu
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance


Acha kupotosha vijana computerized ni ile stage ya mwanzo tu ya Dr and Cr huwezi computerized consolidation of balance sheet ya company tatu au nne Na nyingine ikiwa ni foreign company hio computer itajuaje Kama anataka uhasibu Na the whole financial controller aende Accounting Kama analenga ma Audit firm etc Kama general hata Cpa hawakuangalii sana nenda A and F
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance
Hebu nionyeshe jinsi ya kufanya CONSOLIDATION kwa Kutumia Pestel au TALLY . We Unaongelea Dr and Cr zinazofanywa na CASHIERS na sio ACCOUNTANTS.
 
Una mpoteza sana. Moja ya watu wenye hatari ya kupoteza kazi kutokana na technolojia ni watu waliosoma account peke yake. Ila ukisoma account na finance, finance haiwezi kuwa computerised yote. Ila account anaweza fanya hata mtu aliyesoma socialogy iwapo tu ana system nzuri mfano pastel etc. Na pia mtu wa account anafundishwa tu why, ila how ni yule aliyesoma account and finance, hivy kama kijana unataka kujua why and how soma account and finance

Ziko sawa,hayo ni majina tu kutokana na chuo. Mfano IFM wanatoa B.Accounting lakini finance wanafundishwa ndani yake.
 
hujui ukisemacho....na hio ndio tofauti ya udsm na mzumbe,mtu anayesoma b com accounting hafundishwi kwenda kuwa muhasibu bali anafundishwa kwenda kuwa manager ,na hapo nazungumzia kwenda kufanya maamuzi katika taasisi so kusema eti ukisoma accounting utakuuwa muhasibu na utakosa soko la ajira kwa kuwa vitu viko computerized ni uongo kwan maamuzi ni pale kurecord kufanya analysis na ku take action na sio ku record tu transaction
Wewe ndio umpiga chaka kabisa,kuwa unasomea umeneja?, loh?
 
Back
Top Bottom