Mshahara hapo unaanza na 350,000 bonus integemea ila ukitimiza target ya wateja kwa mwezi na ukiwa wanalipa mkopo wao kwa mda uliopangwa bonus inafika laki na kuendelea...... ila pia makato yapo mengi kama wateja wako wakiwa wasumbufu kulipa kwa kuwa wewe ndo uliwatafuta so unawajibika pia kwa makato wateja wakikimbia au wasipolipa in time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.