figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,751
- 63,062
John Mnyika Chuo kilimletea zengwe sababu ya misimamo yake ya kisiasa. Kumbuka ni Tanzania one.Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu
USSR
Asante kwa taarifaForm Four (1998) Maua Seminary John John Mnyika alipata division 1 ya point 7, huku akiwa na A (tisa)9, kati ya masomo 10 aliyofanya.
Na la saba pia aliongoza mkoa mzima wa Dar es Salaam na kuwa watatu kitaifa!!
Sana tu na ile 2005 aliwakalia kooni CCM na ule ubunge alishinda japo hakutangazwa, so wakaona kumkomoa ni kumfungia mazima.Kumbe jamaa ana ushawishi toka kitambo sana
That means 2005 alikuwa mdogo Sana less than 25yrs🤣🤣Sana tu na ile 2005 aliwakalia kooni CCM na ule ubunge alishinda japo hakutangazwa, so wakaona kumkomoa ni kumfungia mazima.
Usichokijua hadi mwaka ambao Lussu anahitimu UDSM, huyo mama alikuwa mhadhirikwani kwa uelewa wako unafikiri mtu akiwa waziri basi ni mtu mmoja very smart au very resourceful.
kwa Afrika kama mjinga yeyote anaweza kuwa rais sembuse huo uwaziri.
kitu usichokijua mimi na shahada yangu moja kwa nafasi yangu niliyo nayo sasa nina uwezo wa kuwapa maelekezo na maagizo hao mambugila unaowaita wahadhira.Usichokijua hadi mwaka ambao Lussu anahitimu UDSM, huyo mama alikuwa mhadhiri
AlizungushaDokita Samuya kidato cha nne alipata daraja gani?
Alizungusha
Kabisa,Kumbe alipiga "Bashite"..
Usichokijua hadi mwaka ambao Lussu anahitimu UDSM, huyo mama alikuwa mhadhiri
Ali-underperform pae UN Ban Ki-moon akamtema chap-(five yrs), akamteua m2 mwingine kuendelea naye. Angefanya vizur alikuwa na nafas ya kuendelea na Ban.Hebu kuwa na nidhamu kwanza, hivi unamjua huyo Mama Migiro au unaleta siasa zako za majitaka tu hapa. Huyk CV yake imeshiba hana elimu ya kubabaisha
Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.Huyo Mama Migiro ukumbuke naibu katibu mkuu mstaafu wa UN, hapo CCM anafanya kazi yake aliyoagizwa tu. Ila kielimu hebu muwe na nidhamu kwanza hadi UN inakitambua hicho kichwa
UPo sahihi, shida ni jinsi anavyitumika tuHakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.
Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na uzoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.
Myika anepiga miaka mitatu UDSM huku Migiro akitimuliwa UN kwa incompetence (uzembe) licha ya shahada ya sheria ambapo hakuwahi kufanya kazi ya sheria.Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu
USSR
Hujui hata argument yako ni nini unawezaje kulinganisha elimu ya kukariri na mtu mwenye ujuzi wa practicalHakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.
Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na u
zoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.
Mtu wa kwanza kupokonywa awe Palamagamba Kabudi na Kitila Mkumbo, yaani siamini kama hawa watu walikua wanafundisha watu pale UDSM. Bila kumsahau dr Kakurwakuna wakati vyuo vingewapokonya vyeti baadhi ya wahitimu kama
1. mwakyembe
2. hapa na pale
3. huyo migiro
4. mwigulu
5. ccm wote
Yes ya kudesaFirst class ya UDSM usifananishe na hiyo takataka ya CHADEMA.
Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.
Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na uzoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.