MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Kweli kutojua kingereza ni kazi na aibu...mleta mada kakurupuka bila kusoma na kuelewa hiyo taarifa ya Acacia...
Wao wameandika kuna negotiation imefanyika but Agreement ya nini kilipwe bado,,,AGREEMENT in makubaliano kwa kiswahili na NEGOTIATION ni majadiliano,,,so baada ya mazungumzo ya Leo bado hawajakubaliana kiasi cha kulipa na huo ndo ukweli maana bado uchunguzi wa pili unatakiwa ufanyike wakiwa na lengo moja pande zote mbili then ndo agreement or makubaliano ya kiasu gani kilipwe itoke,,,ndo maana Rais kasema itaundwa timu ya majadiliano or negotiation then waje na agreement,,,
Mleta mada kama kingereza ni kigumu basi hata wengi wanaokusaport hampishani ujinga
Wao wameandika kuna negotiation imefanyika but Agreement ya nini kilipwe bado,,,AGREEMENT in makubaliano kwa kiswahili na NEGOTIATION ni majadiliano,,,so baada ya mazungumzo ya Leo bado hawajakubaliana kiasi cha kulipa na huo ndo ukweli maana bado uchunguzi wa pili unatakiwa ufanyike wakiwa na lengo moja pande zote mbili then ndo agreement or makubaliano ya kiasu gani kilipwe itoke,,,ndo maana Rais kasema itaundwa timu ya majadiliano or negotiation then waje na agreement,,,
Mleta mada kama kingereza ni kigumu basi hata wengi wanaokusaport hampishani ujinga