Umechelewa kuipata aisee, habari ipo jamvini karibu saa sita zilizopita!
maelezo ya kina hakuna
Umechelewa kuipata aisee, habari ipo jamvini karibu saa sita zilizopita!
yaa, kwa sababu kule chadema ndiko kumejaa majambazi. kama yale yaliyomteka ulimboka. una akili sana.
Wabaya wake wemetimiza dhamira yao
.......
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
.....
MWANAKIJIJI SIWEZI KUKUBALIANA NA WEWE PAMOJA YA KUWA NI MATUMAINI YAKO KUWA hili halihusiani na kazi yake ya uandishi.nalihusisha na kazi yake kwa nini wamtoboe macho????Wewe huoni hii kama ni muendelezo wa SAED KUBENEA NA DR.STEVEN ULIMBOKA???Ooh boy.. tunamuombea apone.. ni matumaini yangu kuwa hili halihusiani na kazi yake ya uandishi.
hiyo ni janja ya kukwepesha mada na kuwahadaa wadanganyika. Kumbuka alikuwa mhariri mtendaji wa gazeti la tz daima
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Mpango wa Rostam, Lowassa na
Bashe ndio maaana walimwamisha Tanzania Daima ili wapate full Data na
Mida yake ya kurudi home ndio maana kaumizwa.Nasikia Wamemtoa Jicho
Moja.Tamaa Mbele Mauti Nyuma.Si alikimbilia Dau kubwa.Mungu
amsaidie.
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
KAma waliomdhuru ni huko alikotoka sasa unataka uchunguzi upi tena!! uwe nawe unatumia akili japo kidogo!! uko kama pimbi!