Watu wana draw such simple conclusion kwa sababu chunguzi nyingi zinazofanyika hazitoa majibu sahihi ya tatizo husika au hazitoa jibu kabisa,.refer utekwaji wa dr.Ulimboka so far majibu ni yep? Kifo cha mwangosi so far jibu ni lipi? ndio mana kwenye case kama hizi speculations zinakuwa nyingi sanaTusiwe wepesi wa kuchora mstali na kuhitimisha kwenye jambo linalohitaji fikra pevu na uchunguzi mpana.
Cha kufanya ni kumtakia heri huku uchunguzi ukiendelea.
Mkuu sijui una maana gani unaposema MAJIBU SAHIHI. Tatizo watu wanakuwa tayari na conclusion zilizojengwa na theory or conjecture bila evidence, hata majibu sahihi (matokeo) ya chunguzi yanapotolewa na vyombo husika inakuwa ni vigumu kuamini. Tunahitaji jamii iwe na open eyes.Watu wana draw such simple conclusion kwa sababu chunguzi nyingi zinazofanyika hazitoa majibu sahihi ya tatizo husika au hazitoa jibu kabisa,.refer utekwaji wa dr.Ulimboka so far majibu ni yep? Kifo cha mwangosi so far jibu ni lipi? ndio mana kwenye case kama hizi speculations zinakuwa nyingi sana
polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Ametekwa na kujeruhiwa nyumbani kwake???
How come utekwe hapo hapo na ujeruhiwe hapo hapo na ukimbizwe hospitali?
Je ni nani aliye mteka, na ni naliyemkimbiza hospitali na ni nani aliye muokoa?
polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Ooh boy.. tunamuombea apone.. ni matumaini yangu kuwa hili halihusiani na kazi yake ya uandishi.
Inasemekana wamemuibia vipesa kidogo na simu, watakuwa vibaka hawa, jamani tuwe makini mateja wametapakaa sana