Siajaua wakifanya WEEKLY press conference watajibu nini wakiulizwa na waandishi wa habari (wenye akili) sijui watajibuje?
Ohh dont give me that machafuko ya 1980's crap
Na pia wasitulee habari kuwa ni mtu wa ZNZ kwani mzee Idrissa Abdul Wakeel (Babu) kapewa pia japo si mTanganyika
kwa sababu hakuna mahakama iliyowahi kumhukumu mzee Jumbe for treason so we will need better explanation from Ikulu than conspiracy theories
Ohh dont give me that machafuko ya 1980's crap
Na pia wasitulee habari kuwa ni mtu wa ZNZ kwani mzee Idrissa Abdul Wakeel (Babu) kapewa pia japo si mTanganyika
kwa sababu hakuna mahakama iliyowahi kumhukumu mzee Jumbe for treason so we will need better explanation from Ikulu than conspiracy theories