Hata wewe ulipotoka ni sawa na yeye kujilipua je? Pia yeye utamshusha. Wewe mwenyewe ni nyani tu kwao na ni mtumwa tu kwao. Usiwe na fikra za kushenzi kama ulivyo lazima kwanza upunge ushenzi wa ubaguzi na kama wewe unauunga mkono na wewe ni kama wao. Mnawapenda walio uhalalisha na watakuja kutufira hukuhuku kama vile tunavyowaunga katika mambo yaohata mimi ningewashusha, kwasababu wale wanaojilipua huwa wanaongea lugha hiyo hiyo. hata yule aliyempiga risasi balozi wa russia alikuwa anaongea hayohayo. na delta imeshakoswakoswa mara nyingi na hao jamaa, kuna kijana wa nigeria nakumbuka alishafanikiwa kupanda na maligafi kabisa akashindwa tu kuilipua. wewe unapanda ndege na watu wanaojua kuwa wanawindwa halafu unaanza kuongea lugha wanayoiogopa na lugha hiyo hawaielewi, watajua mnapanga nini? si wangeongea kiingereza tu basi ili wenzao wasafiri kwa amani? uking'atwa na nyoka hata unyasi unaruka.