mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
Midaa ya saa mbili usiku gari yenye usajiri T 633 BSS inayofanya route za mbezi kawe lakini wakati huo ikitokea magomeni ambapo konda wake alidai wamekwenda kujaza mafuta,lakini ndani ya gari kuna abiria akasema katoka nahiyo gari kinondoni....!
Hapo ndipo abiria walichefuka kwani konda huyo alisema yeye anaishia ubungo tu na anaenda kawe kulaza gari na abiria walipanda gari hiyo wakijua inaenda mbezi...alipofika ubungo aliingia sheri na kuwataka abiria wote washuke bila mafanikio,aligeuza gari nakuelekea darajani ambapo konda alianza kupiga debe la kawe ndipo abiria wakafunga mlango na kuchomoa funguo huku wakimpa dereva vibao vya maana na wakiwa na hasira kali,wakasema tumechoka kuonewa kila siku na hatutaki askari kwani hamuwaogopi kwa sababu mnawapa hongo kila siku sasa unatupeleka mbezi ama tunakushughulikia sisi wenyewe!
Dereva alitaka kushuka akavutwa kurudi ndani na mlango wake na dirisha vikafungwa huku akikamatwa shati na mkaka alieshiba.....baada ya ugomvi huo aligeuza na kupeleka abiria mbezi..!
Wana jamvi wenzangu tatizo hili ni sugu na hasa wakati wa jioni madereva wanajiamulia kufanya chochote na nauli yoyote tena wakati mwingine anaweza asipakie abiria akawapita mmesimama, abiria tusiokua na magari binafsi tunateseka sana, hata wakati wa asubuhi pia hulazimika kuzunguka na gari na kulipa nauli mara mbili zaidi ya kawaida.....watanzania tusione hii kitu ni ya kawaida hapana we don't deserve this, let's join our power and say its over, together we can make this city a better place for everyone! Nashindwa kuelezea kile nnachosikia moyoni mwangu lakini wanaopata hizi taabu ni watabaka la kawaida na chini ,maisha ni magumu.
Basi tunaomba tuboreshewe huduma zingine jamani angalau zitufariji au kwa sababu magari ni ya kwenu mnaojiita vigogo ? Ipo siku yatakwisha na siku hiyo naingoja kwa hamu sana! Ningekua na Rifle ningemshoot yule konda na dereva.....! Kwanza wale ni deiwaka manake hata uniform hawakua nazo na luga wanazoongea za kihuni tu....acha niishie hapa....!
Hapo ndipo abiria walichefuka kwani konda huyo alisema yeye anaishia ubungo tu na anaenda kawe kulaza gari na abiria walipanda gari hiyo wakijua inaenda mbezi...alipofika ubungo aliingia sheri na kuwataka abiria wote washuke bila mafanikio,aligeuza gari nakuelekea darajani ambapo konda alianza kupiga debe la kawe ndipo abiria wakafunga mlango na kuchomoa funguo huku wakimpa dereva vibao vya maana na wakiwa na hasira kali,wakasema tumechoka kuonewa kila siku na hatutaki askari kwani hamuwaogopi kwa sababu mnawapa hongo kila siku sasa unatupeleka mbezi ama tunakushughulikia sisi wenyewe!
Dereva alitaka kushuka akavutwa kurudi ndani na mlango wake na dirisha vikafungwa huku akikamatwa shati na mkaka alieshiba.....baada ya ugomvi huo aligeuza na kupeleka abiria mbezi..!
Wana jamvi wenzangu tatizo hili ni sugu na hasa wakati wa jioni madereva wanajiamulia kufanya chochote na nauli yoyote tena wakati mwingine anaweza asipakie abiria akawapita mmesimama, abiria tusiokua na magari binafsi tunateseka sana, hata wakati wa asubuhi pia hulazimika kuzunguka na gari na kulipa nauli mara mbili zaidi ya kawaida.....watanzania tusione hii kitu ni ya kawaida hapana we don't deserve this, let's join our power and say its over, together we can make this city a better place for everyone! Nashindwa kuelezea kile nnachosikia moyoni mwangu lakini wanaopata hizi taabu ni watabaka la kawaida na chini ,maisha ni magumu.
Basi tunaomba tuboreshewe huduma zingine jamani angalau zitufariji au kwa sababu magari ni ya kwenu mnaojiita vigogo ? Ipo siku yatakwisha na siku hiyo naingoja kwa hamu sana! Ningekua na Rifle ningemshoot yule konda na dereva.....! Kwanza wale ni deiwaka manake hata uniform hawakua nazo na luga wanazoongea za kihuni tu....acha niishie hapa....!