Mkuu FJM, nakuheshimu sana. Tafadhari futa post yako. Haiwezekani uunge mkono uvunjaji wa sheria kiasi kile!
Kiongozi, siungi mkono uvunjaji wa sheria ila naunga mkono polisi jamii!
Mkuu FJM, nakuheshimu sana. Tafadhari futa post yako. Haiwezekani uunge mkono uvunjaji wa sheria kiasi kile!
Sijaelewa ni kwa nini uunge mkono wananchi kuchukua sheria mkononi?
Mkuu wangu, madereva na makonda ni binadamu kama ulivyo wewe na mimi, wanakosea na wana udhaifu wao pia. Inawezekana vipi mtu asherehekee abiria kuwapiga ilihali wapo kazini? kwani sheria zinasemaje dereva akitaka kubadili route? APIGWE?
Mkuu ninachopinga ni wananchi kujichukulia sheria mkononi,kisha anatokea mtu anshabikia! Hii haikubaliki hata kidogo ni lazima watu wawe wastaarabu.
Mkuu ntake radhi, mimi siisupport CCM hata kidogo.
:majani7: :majani7:Mkuu wangu, madereva na makonda ni binadamu kama ulivyo wewe na mimi, wanakosea na wana udhaifu wao pia. Inawezekana vipi mtu asherehekee abiria kuwapiga ilihali wapo kazini? kwani sheria zinasemaje dereva akitaka kubadili route? APIGWE?
Mkuu ninachopinga ni wananchi kujichukulia sheria mkononi,kisha anatokea mtu anshabikia! Hii haikubaliki hata kidogo ni lazima watu wawe wastaarabu.
Sijaelewa ni kwa nini uunge mkono wananchi kuchukua sheria mkononi?
Kwa hiyo kwa uelewa wako ndugu yangu ni sahihi , abiria kumpiga dereva? wa sheria ipi? Nyie CHADEMA mbona mnapenda vurugu sana? kwa nini hamtaki sheria kuchukua mkondo wake?
aliekata route amechukua sheria mguuni????
Mkuu wangu, madereva na makonda ni binadamu kama ulivyo wewe na mimi, wanakosea na wana udhaifu wao pia. Inawezekana vipi mtu asherehekee abiria kuwapiga ilihali wapo kazini? kwani sheria zinasemaje dereva akitaka kubadili route? APIGWE?
Mkuu ninachopinga ni wananchi kujichukulia sheria mkononi,kisha anatokea mtu anshabikia! Hii haikubaliki hata kidogo ni lazima watu wawe wastaarabu.
kwa kuwa siku hizi hupandi daladala ndio maana unasema hivyo,ulipokua mwembechai hukusema hivyo