supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Ukifika kituoni Mwenge hususani wakati wa asubuhi yanapokuja mabasi ya kwenda Posta unaona jinsi watu wanavyo kimbilia ili kupata nafasi za kukaa. Cha kushangaza zaidi ni wale abiria wanaokuwa wa kwanza kugombania siti alafu anashuka Bamaga, Sayansi, Makumbusho, Victoria na wengine hata ITV.
Kwa nini wasipande mabasi yaendayo kariakoo, temeke, mbagala maana yote hupitia katika vituo hivyo na huwa hayana usumbufu kutokana na kuwa mengi.
Yani fujo zote za kuwahi siti na kukaa mwisho alafu unashuka bamaga? sababu ni nini ati?
Kwa nini wasipande mabasi yaendayo kariakoo, temeke, mbagala maana yote hupitia katika vituo hivyo na huwa hayana usumbufu kutokana na kuwa mengi.
Yani fujo zote za kuwahi siti na kukaa mwisho alafu unashuka bamaga? sababu ni nini ati?