Abela Kibira

jmushi1

Platinum Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
26,381
Reaction score
25,476
Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo?


Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini...
ReverbNation

My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama direction.Sijaweza kuona nyimbo yake, however ni "mwanamziki"
 
Ndo nani huyu hajawahi kusikika popote nimejaribu hata ku-google sipati any profile yale mmh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…