Abdularman Babu aliondoka Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini

SubiriJibu

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
1,803
1,863
Abdularman Babu aliondoka huko Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini kwa miaka kam sita. Alipoachiliwa, akaenda kuishi London.

Mnaokumbuka, ile miaka ya 1980, ulikuwa ukinunua gazeti la AFRICA NOW lazima utakutana na makala za kusisimua za akina Baffour Ankomah na hatimaye Abdularman Babu.

Hivyo, wanachofanya Mange Kimambi, Ansbert Ngurumo na Evaristo Chahali hakijaanza leo na hakitaisha leo.

Babu alirejea huko Tanzania mwaka 1995 baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Jadili.
 
Abdularman Babu aliondoka huko Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini kwa miaka kam sita. Alipoachiliwa, akaenda kuishi London.

Mnaokumbuka, ile miaka ya 1980, ulikuwa ukinunua gazeti la AFRICA NOW lazima utakutana na makala za kusisimua za akina Baffour Ankomah na hatimaye Abdularman Babu.

Hivyo, wanachofanya hawa watatu, hakijaanza leo na hakitaisha leo.

Babu alirejea huko Tanzania mwaka 1995 baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Jadili.

Na T.L Marandu
 
Abdularman Babu aliondoka huko Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini kwa miaka kam sita. Alipoachiliwa, akaenda kuishi London.

Mnaokumbuka, ile miaka ya 1980, ulikuwa ukinunua gazeti la AFRICA NOW lazima utakutana na makala za kusisimua za akina Baffour Ankomah na hatimaye Abdularman Babu.

Hivyo, wanachofanya hawa watatu, hakijaanza leo na hakitaisha leo.

Babu alirejea huko Tanzania mwaka 1995 baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Jadili.

Watu wakishajadili ndio hiyo TRILIONI MOJA UNUSU itarejeshwa? Acheni mbinu za kitoto. Tatizo lenu mna-underestimate akili ya Watanzania. Hamjihangaishi kujua Magufuli anachukiwa kiasi gani, na kwa nini. Ukabila,ukanda,udini, udikteta na sasa ufisadi wa kihistoria lakini kuna kenge mnaohangaika na Mange, Ngurumo au mie?
 
Abdularman Babu aliondoka huko Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini kwa miaka kam sita. Alipoachiliwa, akaenda kuishi London.

Mnaokumbuka, ile miaka ya 1980, ulikuwa ukinunua gazeti la AFRICA NOW lazima utakutana na makala za kusisimua za akina Baffour Ankomah na hatimaye Abdularman Babu.

Hivyo, wanachofanya hawa watatu, hakijaanza leo na hakitaisha leo.

Babu alirejea huko Tanzania mwaka 1995 baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Jadili.
Kaka huwezi kuwalinganisha hawa waganga njaa na Abrahaman Babu,ni kama umemtusi marehemu Babu,tafadhali tutake radhi.Babu alikuwa msomi mwanamapinduzi kwelikweli sasa Mange sijui tumtaje kwa umahiri gani sijui tumwite ''kamusi ya matusi'' nae Chahali sijui tumwite anyetembea kinyume nyume na huyu mwingine mkimbia njaa
 
Hao walituambia tumchague Pombe 2015,Mange alimtukana alimkashfu sana Lowasa.
Hiki ndiyo kinanifanya nione hakuna umuhimu wa kuandamana Kila mtu aisome namba kivyake,kipindi kile tunaandamana kuusapoti Upinzani akina Mange walituona mabwege Sasa hivi wamekazana tuandamane,watu wa Aina yake ni wanafiki tu ana maslahi binafsi
 
Huyu bwege Kimange aliyekuwa anawania vyeo CCM kabla ya kubwagwa juzi juzi na akijua tangiapo CCM ni chafu eti leo ndo anageuka na kuwa jiwe?

Vipi angepata hata kanafasi leo angekuja kuyasema haya anayoyatapika hapa? Hii ni kisa cha mkosaji baada ya kuanguka anajifanya hazitaki mbichi hizi
 
Hoja yangu si maisha yao hapo nyumbani, hoja yangu ni uandishi wao ukiachana na matusi ya Mange.
 
Hao wengine hawakuwahi kuwekwa kizuizini wala kuwa wahanga wa jambo lolote la kisiasa ni viherehere vyao tu, hakuna uwiano wowote baina yao na huyo uliyemtaja, uzi unakosa uhalali kwa mantiki hiyo.
 
Acheni damu changa ifanye kazi yao, Dunia imebadilika ukoloni mamboleo lazima upingwe kwa juhudi zote.
 
Abdularman Babu aliondoka huko Tanzania mwaka 1978 baada ya kukaa kizuizini kwa miaka kam sita. Alipoachiliwa, akaenda kuishi London.

Mnaokumbuka, ile miaka ya 1980, ulikuwa ukinunua gazeti la AFRICA NOW lazima utakutana na makala za kusisimua za akina Baffour Ankomah na hatimaye Abdularman Babu.

Hivyo, wanachofanya Mange Kimambi, Ansbert Ngurumo na Evaristo Chahali hakijaanza leo na hakitaisha leo.

Babu alirejea huko Tanzania mwaka 1995 baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Jadili.
Napendekeza Lissu nae asirudi aendeleze harakati za ukombozi akiwa huko huko ughaibuni.Hapa sii salama kwake
 
Back
Top Bottom