Sasa ni rasmi kituo cha redio 91.2 ABM Radio cha Dodoma kilichokua kikimilikiwa na galacha wa fani ya utangazaji wa Radio ndugu Abdallah Majura kimeuzwa kwa Mtumishi wa Mungu Apostle Boniface "Bulldozer" Mwamposa na kwa sasa zinapigwa nyimbo za Gospel 24/7.
Ieleweke kwamba ndugu Abdallah Majura anamiliki pia radio station nyingine kwa jina la A24 Radio inayosikika Dar Es Salaam na Zanzibar.
Ninatumaini Mtumishi Mwamposa atatumia nafasi hii ya umiliki wa kituo cha Radio "kuwakamata" wakristo pamoja na wasio wakristo kama ambavyo amefanikiwa kwenye matamasha anayoyafanya Dar Es Salaam.
*INUKA UANGAZE*
Ieleweke kwamba ndugu Abdallah Majura anamiliki pia radio station nyingine kwa jina la A24 Radio inayosikika Dar Es Salaam na Zanzibar.
Ninatumaini Mtumishi Mwamposa atatumia nafasi hii ya umiliki wa kituo cha Radio "kuwakamata" wakristo pamoja na wasio wakristo kama ambavyo amefanikiwa kwenye matamasha anayoyafanya Dar Es Salaam.
*INUKA UANGAZE*