Abdallah Majura ajitosa ubunge

Abdallah Majura ajitosa ubunge

Jamani Majura ni jina la ukoo (kabila) na maarufu makwetu (Ujitani) kama vile kina Mwita huko Tarime au Mosha huko kimilanjaro.. Kwa hiyo msishangae watu 100 kuwa na jina hilo na hawana udugu..
 
Jamani Majura ni jina la ukoo (kabila) na maarufu makwetu (Ujitani) kama vile kina Mwita huko Tarime au Mosha huko kimilanjaro.. Kwa hiyo msishangae watu 100 kuwa na jina hilo na hawana udugu..

Huyo jamaa ni mtoto wa marehem idrisa abdala majura kutoka kiziba sehemu Moja inaitwa Gera,majura ni mhaya aliyekulis zanzibar
 
watajuana huko huko, halafu iwe ni marufuku kuja upinzani, kwani tabia yao wakishakatwa huko ndio wanajifanya kulalamika ohoooo, pesa inatumika sana!!! tujifunze toka kwa shibuda.

sasa upinzani hamtaki wanasiasa wazoefu ...
 
Huyo jamaa ni mtoto wa marehem idrisa abdala majura kutoka kiziba sehemu Moja inaitwa Gera,majura ni mhaya aliyekulis zanzibar
Tafadhali mkuu Majura si rahisi kuwa Mhaya au una maana Majula.. maana hili ni jina la kiukoo la kabila la Wajita wa mkoa wa Mara..
 
Huyo jamaa ni mtoto wa marehem idrisa abdala majura kutoka kiziba sehemu Moja inaitwa Gera,majura ni mhaya aliyekulis zanzibar

Uko correct mkuu, ni mhaya (mziba) pure sema kakulia zenji inawapa watu kazi sana kumtambua na ile lafudhi yake ndo kabisa!
 
Ameanza lini kupenda ccm Majura? Duh kweli siasa hazitabiriki

Abdalla Majura mbona aligombea nafasi ya kuomba kuteuliwa na CCM hata mwaka 2010 kwa bahati mbaya wengi wetu bado wachanga sana katika siasa lakini ndiyo tunaongoza kwa kuchonga
 
Back
Top Bottom