Mkuu umesahau kinacho muua kambale ni mdomo wake mwenyewe, bulembo tayari kesha twambia kuwa ndani ya ccm kuna makundi mawili yanayo pingana juu ya uenyekiti wa ccm.Najitokeza kwa mara ya pili leo kumzungumzia Alhaji Abdallah Bulembo,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM na kada mbobezi. Mara ya kwanza ilikuwa alipohusishwa na kukwamisha uchaguzi wa Meya Dar. Nilimshauri ajitenge na uchaguzi huo.Uchaguzi ukafanyika.
Leo,natoa wito wenye mvuto kuwa kada huyu awe wa kwanza kufukuzwa toka CCM. Ameharibu mchoro wa chama. Chama kinajichora kiubora kuwa kipo makini na pamoja. Kinajichora kuwa imeamuliwa bila kulalamikiwa kuwa Rais Magufuli akabidhiwe uenyekiti wa chama hapo Julai 23.
Kusema kuwa wanaopinga Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti waondolewe chamani,ni kuharibu msimamo wa chama. Ndani ya CCM,kimchoro usio na kihoro,hakuna wanaopinga. Wote wanashangilia bila kulia kwa kadhia. Wote wanataka kukabidhi badala ya kuchagua.Hakuna anaowasema!
Kwakuwa amesema lisilokuwepo,Bulembo awe wa kwanza kufukuzwa CCM.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Inawezekana labda msemaji yupo kwenye kundi pinzani huwezi kujuaHivi huyu Bulembo pia ni msemaji wa chama au amejisahau kuwa bado cheo chake cha meneja wa kampeni wa Magufuli kinaendelea?!
Ccm kwa sasa hakuna amani tenaBulembo analeta mkanganyiko tu
Mzee Tupatupa
Ndiyo maana sasa hivi anakula upepo mwananaAmezifanya vibaya hela za mashule kwa kuamuru hela zipelekwe chamani huku akiacha shule bila mishahara na matumizi mengine
Adui daima muombee njaaa na sasa tunawaombea ccm msambatatikeDua la kuku halimpati mwewe mkitabir kipindi cha uchaguz itakuwa kukabidhuwa chama
Yaani kusema ukweli ndiyo mnamuita mropokaji?Bulembo mropokaji wa chama;
Ccm sasa kwafukuta na mpasuko ni dhahiriCCM OYEEE! KWA SAUTI YA BULEMBO...
HUYU KADA NI MWIBA MKALI SANA KWA LOWASSA NA WAFUASI WAKE!
Hata mwaka jana miezi hii hii CCM palikuwa panafukuta...unajua nini kilijiri?Ccm sasa kwafukuta na mpasuko ni dhahiri
Hahshaaaaaaaa haita tokea MmawiaAdui daima muombee njaaa na sasa tunawaombea ccm msambatatike
Tuanze kwanza na viongozi wa kinachojiita chama cha demokrasia. Wako waliohubiri kuwa Lowassa ni fisadi. Baada ya msimamo juu ya Lowassa kubadiika, at the minimum, walipaswa kujuzulu uongozi. Simamia kwanza hilo kabla hujavuka mipaka.Najitokeza kwa mara ya pili leo kumzungumzia Alhaji Abdallah Bulembo,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM na kada mbobezi. Mara ya kwanza ilikuwa alipohusishwa na kukwamisha uchaguzi wa Meya Dar. Nilimshauri ajitenge na uchaguzi huo.Uchaguzi ukafanyika.
Leo,natoa wito wenye mvuto kuwa kada huyu awe wa kwanza kufukuzwa toka CCM. Ameharibu mchoro wa chama. Chama kinajichora kiubora kuwa kipo makini na pamoja. Kinajichora kuwa imeamuliwa bila kulalamikiwa kuwa Rais Magufuli akabidhiwe uenyekiti wa chama hapo Julai 23.
Kusema kuwa wanaopinga Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti waondolewe chamani,ni kuharibu msimamo wa chama. Ndani ya CCM,kimchoro usio na kihoro,hakuna wanaopinga. Wote wanashangilia bila kulia kwa kadhia. Wote wanataka kukabidhi badala ya kuchagua.Hakuna anaowasema!
Kwakuwa amesema lisilokuwepo,Bulembo awe wa kwanza kufukuzwa CCM.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Tunamuomba mungu siyo binadamuHahshaaaaaaaa haita tokea Mmawia