Abarikiwe aliyemleta Rais Samia Duniani

Abarikiwe aliyemleta Rais Samia Duniani

Ndugu zangu watanzania,

Kwa hakika libarikiwe sana tumbo lililombeba mama Samia, lilibeba mtoto aliyekuja kuwa kiongozi wa Tanzania, kiongozi mwenye upendo, hekima, busara, ukarimu, huruma, unyenyekevu na usikivu.

Kiongozi asiye na makuu wala makidai, kiongozi mwenye kujishusha na kujua kuwa pamoja na madaraka yake makubwa kiuongozi lakini bado anabaki kuwa mwanadamu aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye pamoja na uwezo wake mkubwa kimamlaka lakini anatambua kuwa yupo Mungu ambaye ndiye anayepaswa kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu, kiongozi ambaye wakati wote madaraka yamemfuata yeye kutokana na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye mikono yake ameinyoosha katika kuwafuta machozi na kuwapatia haki wenye kuonewa, kiongozi ambaye ulimi wake umewaponya na kuwafariji wenye majeraha na makovu.

Ni kiongozi ambaye hajawahi kufurahi wala kuwa tayari kuongoza taifa la watu wanaolia na kububujikwa machozi kwa kuonewa, hajawahi kuwa tayari kimaneno na hata kimatendo kuhubiri uonevu, ukatili, ubaguzi na hata chuki kwa watu.

Ni kiongozi ambaye ulimi wake muda wote ni wenye kutoa maneno ya upendo mshikamano na kujenga umoja wa taifa.

Ndio sababu ya kuungwa mkono na Watanzania wote, ndio sababu ya kupendwa na kuombewa afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia Watanzania, ndio sababu ya kusikilizwa na kufuatiliwa sana kwa hotuba zake, ndio sababu ya kuteka hisia na mioyo ya Watanzania, ndio sababu ya kukubalika kwake na makundi yote, ndio sababu ya umaarufu na ushawishi wake kuwa mkubwa sana Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Rais samia ni nuru katikati ya giza, ni tumaini katikati ya waliokata tamaa, ni faraja kwa waliao, ni mpatanishi wa kweli, mpenda haki na mtenda haki, ni Nyota ya alfajiri iletayo matumaini ya pambazuko lililojema.

Ndio sababu ya kila Mtanzania kuwa na matumiani ya pambazuko katika maisha yao na ndoto zao, kila mmoja anao uhakika wa kutimiza ndoto zake na kufikia mafanikio anayoyataka.

Serikali yake imekuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu, kuwawezesha na kuwashika mkono katika kufikia malengo yake. Serikali yake haipo kwa ajili ya kumuonea mtu, kumdhuru mtu, kumtesa mtu, kumliza mtu.

Ni serikali safi ya haki yenye matendo mema na hatua njema, ni serikali yenye dhamira ya kuwatumikia watu kwa upendo na uzalendo mkubwa.

Ndio sababu ya kuona mioyo ya Watanzania ikiwa haina hofu wala wasiwasi, kila mmoja anayo amani moyoni mwake, kila mmoja anayo imani na serikali hii, kila mmoja anaridhishwa na utendaji kazi wa serikali ya Rais Samia.

Viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku wala hawapatikani kila mahali, maana wenye moyo kama wake wa kuweza kumsikiliza kila mtu, kumvumilia kila mtu mwenye kutofautiana nao, wenye kifua kama chake, wenye kusikiliza sauti zote hata zikwaluzazo kwa lugha za ukakasi, kukaa mezani na yeyote, kujumuika na yeyote ni wachache sana.

Viongozi aina yake huja kama mitume kwa ajili ya kuwatumikia watu kwa haki na upendo. Huja wakiwa wameandaliwa na Mwenyezi Mungu, hawaandaliwi na wanadamu wala kwa mipango ya wanadamu, huja wakiwa wamepewa maaarifa na njia za kuongaza.

Mwenyezi Mungu huwapa kila kitu kama ilivyokuwa kwa Musa, huja wakiwa na kibali mkononi cha Mwenyezi Mungu katika ulimwengu wa kiroho. Huja kwa makusudi maalumu, huja kama nyota katikati ya giza, hung'aa na mwanga wao huwa tumaini la watu waitazamayo nyota hiyo, huja wakiwa na majibu ya maswali.

Ndio sababu ya kuona Rais Samia akiwa kipenzi cha Watanzania, ndio sababu ukiona Rais Samia hakauki midomoni mwa Watanzania kwa mema. Amejiandikia ukurasa wake na anaendelea kuandika kitabu chake kitakachosimuliwa vizazi na vizazi kwa mema mengi na makubwa aliyolifanyia Taifa letu yanayobaki kama alama katika mioyo ya watu.

Rais Samia kwake haki ndio kipaombele kwa kuwa anatambua ya kuwa haki huinua taifa. Ni heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi na ufahari wa kidunia.

Rais samia amechagua jina jema kwa kutenda mema kwa Watanzania, yanayomfanya kuwa chaguo la Watanzania kwa muhula wa pili, yanayomfanya apendwe na kuzungumzwa vyema na watu wa makundi yote, rika zote, jinsia zote na vyama vyote.

Rais Samia pamoja na madaraka yake makubwa, ukubwa wa kimamlaka alionao mikononi mwake na katika ulimi wake kikatiba na kisheria, lakini bado anatambua ya kuwa yeye ni mwanadamu na kwamba anayestahili kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu ni Mwenyezi Mungu pekee na siyo mwanadamu.

Ndio sababu ya kuwa mnyenyekevu muda wote, mwenye kujishusha na kuwasikiliza watu wote pasipo ubaguzi wala kuwagawa kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda, ndio sababu ya kuongoza taifa kwa haki na upendo.

Libarikiwe tumbo lililombeba Rais Samia, maana matumbo mengine yanaleta watu Duniani wanaokuja kuleta mateso kwa watu, uchungu katika maisha ya watu, simanzi kwa watu, machozi kwa watu, maumivu kwa watu, giza katika mioyo ya watu, majeraha na uvuli katika mioyo ya watu, kumwaga damu za watu, kunyonga watu, kuua watu, kukatisha na kuzima ndoto za watu, kushindana na Mwenyezi Mungu anayewapa watu pumzi ya kuishi.

Tujitahidi kutenda mema tukiwa hai kwa kadri tuwezavyo ili matendo yetu yasimame kututetea tukiwa hatuna uwezo wa kujitetea wala kufungua vinywa vyetu. Ya Duniani ni ya kupita tu, yanini kuumizana, kutesana, kukatishana ndoto, kujengeana chuki, kuuwana kwa sababu ya mali au madaraka au vyeo?, nani anazikwa navyo?

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Umejitaidi kutoa uchafu wako kichwani. Vp unajisikiaje baada ya uharo wako huo
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa hakika libarikiwe sana tumbo lililombeba mama Samia, lilibeba mtoto aliyekuja kuwa kiongozi wa Tanzania, kiongozi mwenye upendo, hekima, busara, ukarimu, huruma, unyenyekevu na usikivu.

Kiongozi asiye na makuu wala makidai, kiongozi mwenye kujishusha na kujua kuwa pamoja na madaraka yake makubwa kiuongozi lakini bado anabaki kuwa mwanadamu aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye pamoja na uwezo wake mkubwa kimamlaka lakini anatambua kuwa yupo Mungu ambaye ndiye anayepaswa kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu, kiongozi ambaye wakati wote madaraka yamemfuata yeye kutokana na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye mikono yake ameinyoosha katika kuwafuta machozi na kuwapatia haki wenye kuonewa, kiongozi ambaye ulimi wake umewaponya na kuwafariji wenye majeraha na makovu.

Ni kiongozi ambaye hajawahi kufurahi wala kuwa tayari kuongoza taifa la watu wanaolia na kububujikwa machozi kwa kuonewa, hajawahi kuwa tayari kimaneno na hata kimatendo kuhubiri uonevu, ukatili, ubaguzi na hata chuki kwa watu.

Ni kiongozi ambaye ulimi wake muda wote ni wenye kutoa maneno ya upendo mshikamano na kujenga umoja wa taifa.

Ndio sababu ya kuungwa mkono na Watanzania wote, ndio sababu ya kupendwa na kuombewa afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia Watanzania, ndio sababu ya kusikilizwa na kufuatiliwa sana kwa hotuba zake, ndio sababu ya kuteka hisia na mioyo ya Watanzania, ndio sababu ya kukubalika kwake na makundi yote, ndio sababu ya umaarufu na ushawishi wake kuwa mkubwa sana Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Rais samia ni nuru katikati ya giza, ni tumaini katikati ya waliokata tamaa, ni faraja kwa waliao, ni mpatanishi wa kweli, mpenda haki na mtenda haki, ni Nyota ya alfajiri iletayo matumaini ya pambazuko lililojema.

Ndio sababu ya kila Mtanzania kuwa na matumiani ya pambazuko katika maisha yao na ndoto zao, kila mmoja anao uhakika wa kutimiza ndoto zake na kufikia mafanikio anayoyataka.

Serikali yake imekuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu, kuwawezesha na kuwashika mkono katika kufikia malengo yake. Serikali yake haipo kwa ajili ya kumuonea mtu, kumdhuru mtu, kumtesa mtu, kumliza mtu.

Ni serikali safi ya haki yenye matendo mema na hatua njema, ni serikali yenye dhamira ya kuwatumikia watu kwa upendo na uzalendo mkubwa.

Ndio sababu ya kuona mioyo ya Watanzania ikiwa haina hofu wala wasiwasi, kila mmoja anayo amani moyoni mwake, kila mmoja anayo imani na serikali hii, kila mmoja anaridhishwa na utendaji kazi wa serikali ya Rais Samia.

Viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku wala hawapatikani kila mahali, maana wenye moyo kama wake wa kuweza kumsikiliza kila mtu, kumvumilia kila mtu mwenye kutofautiana nao, wenye kifua kama chake, wenye kusikiliza sauti zote hata zikwaluzazo kwa lugha za ukakasi, kukaa mezani na yeyote, kujumuika na yeyote ni wachache sana.

Viongozi aina yake huja kama mitume kwa ajili ya kuwatumikia watu kwa haki na upendo. Huja wakiwa wameandaliwa na Mwenyezi Mungu, hawaandaliwi na wanadamu wala kwa mipango ya wanadamu, huja wakiwa wamepewa maaarifa na njia za kuongaza.

Mwenyezi Mungu huwapa kila kitu kama ilivyokuwa kwa Musa, huja wakiwa na kibali mkononi cha Mwenyezi Mungu katika ulimwengu wa kiroho. Huja kwa makusudi maalumu, huja kama nyota katikati ya giza, hung'aa na mwanga wao huwa tumaini la watu waitazamayo nyota hiyo, huja wakiwa na majibu ya maswali.

Ndio sababu ya kuona Rais Samia akiwa kipenzi cha Watanzania, ndio sababu ukiona Rais Samia hakauki midomoni mwa Watanzania kwa mema. Amejiandikia ukurasa wake na anaendelea kuandika kitabu chake kitakachosimuliwa vizazi na vizazi kwa mema mengi na makubwa aliyolifanyia Taifa letu yanayobaki kama alama katika mioyo ya watu.

Rais Samia kwake haki ndio kipaombele kwa kuwa anatambua ya kuwa haki huinua taifa. Ni heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi na ufahari wa kidunia.

Rais samia amechagua jina jema kwa kutenda mema kwa Watanzania, yanayomfanya kuwa chaguo la Watanzania kwa muhula wa pili, yanayomfanya apendwe na kuzungumzwa vyema na watu wa makundi yote, rika zote, jinsia zote na vyama vyote.

Rais Samia pamoja na madaraka yake makubwa, ukubwa wa kimamlaka alionao mikononi mwake na katika ulimi wake kikatiba na kisheria, lakini bado anatambua ya kuwa yeye ni mwanadamu na kwamba anayestahili kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu ni Mwenyezi Mungu pekee na siyo mwanadamu.

Ndio sababu ya kuwa mnyenyekevu muda wote, mwenye kujishusha na kuwasikiliza watu wote pasipo ubaguzi wala kuwagawa kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda, ndio sababu ya kuongoza taifa kwa haki na upendo.

Libarikiwe tumbo lililombeba Rais Samia, maana matumbo mengine yanaleta watu Duniani wanaokuja kuleta mateso kwa watu, uchungu katika maisha ya watu, simanzi kwa watu, machozi kwa watu, maumivu kwa watu, giza katika mioyo ya watu, majeraha na uvuli katika mioyo ya watu, kumwaga damu za watu, kunyonga watu, kuua watu, kukatisha na kuzima ndoto za watu, kushindana na Mwenyezi Mungu anayewapa watu pumzi ya kuishi.

Tujitahidi kutenda mema tukiwa hai kwa kadri tuwezavyo ili matendo yetu yasimame kututetea tukiwa hatuna uwezo wa kujitetea wala kufungua vinywa vyetu. Ya Duniani ni ya kupita tu, yanini kuumizana, kutesana, kukatishana ndoto, kujengeana chuki, kuuwana kwa sababu ya mali au madaraka au vyeo?, nani anazikwa navyo?

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Hakika Rais Samia Suluhu alizaliwa kuja kuikomboa Tanzania katika mikono ya wachumia tumbo na waliokua hawajali haki za wananchi bali kujijali wenyewe lakini yeye ameingia madarakani amefungua soko la ajira mzunguko wa pesa ni mkubwa sana mtaani jana tumeona amezindua mradi mkubwa wa kilimo na lengo ni kuajiliri vijana zaidi ya milioni 3 hakika watanzania tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kutupa kiongozi alieleta neema Tanzania
 
Kwa nchi ambayo ina wanachi wenye kujielewa, Samia hana sifa ya kua hata balozi wa nyumba 10. Kwa nchi ya vipofu, ndio matokeo yake haya Samia atasifiwa balaa.
 
China, India na nchi nyingi za Asia hawamjui mungu na wako mbali sana kwenye maendeleo kuliko sisi tunaong'ang'ania Mungu, Mungu Mungu, huyo Mungu kwa nini ameacha nchi zisiomjua ama kumuabudu ziendelee hadi kutaombe msaada kwao wakati yupo? Hana msaada.

Mungu ni hadithi tu za alinacha, Mungu hayupo. Ni kibwengo tu kimeumbwa kwenye akili za binadamu ila kiuhalisia hakipo.
 
Hivi hamuoni umeme unakatika Kila siku, tozo hamzioni Benki, Tigo pesa, Bei ya vyakula kuwa juu Kama unga 2,000, Michele 3,600, maharage 4,000, Deni la Taifa Tilion 100, je mnajielewa kweli. Kila siku kusifia.
Suala la umeme kwa Sasa Hali Ni njema kwa kuwa serikali inaendelea na kazi ya kuimarisha Miundombinu ya umeme pamoja na kutumia vyanzo mbadala vya kuzalisha umeme Kama vile umeme wa gas, ili hata mvua ikikosekana watanzania Tuendelee kupata umeme wa uhakika bila shida, lakini pia wakati huu ambao mvua zinaendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imepelekea kupatikana kwa umeme wa uhakika katika maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuwafanya watu Kuendelea na shughuli zao za kiuchumi zinazotegemea umeme.

Suala la Tozo ningependaa kukwambia kuwa Hakuna nchi Duniani Kati ya zile zilizoendelea na kupiga hatua za kiuchumi ambayo ilifika ilipo pasipo nguvu na mioyo ya watu wake katika ujenzi wa mataifa Yao, Ni lazima tuchangie kila mmoja kwa kadri ya kipato chake ili kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe,Ndio maana unaona kupitia Tozo serikali yetu ilifanikiwa kujenga vyumba vya madarasa karibu elfu 20 na hivyo kufanya wanafunzi wote kulipoti shuleni kwa wakati mmoja, vituo vya Afya kila Kona ya nchi, utoaji wa Elimu bure Hadi kidato Cha sita,huduma za maji Safi na salama pamoja na ujenzi wa Miundombinu mbalimbali hapa nchini bila kusahau utoaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea

Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais na serikali yake kwa kuwa wanaona faida ya kuchangia katika ujenzi na maendeleo ya Taifa letu wenyewe,lakini pia kila mmoja anajiona amechangia katika ustawi wa Taifa letu.

Suala la mikopo napo ningependaa kukwambia kuwa Hakuna nchi isiyo kopa au kuwa na madeni, kikubwa Ni unakopa kwa ajili ya kufanyia Nini? Aina ya mkopo,masharti au riba ya mkopo na muda wa kurejesha mkopo ,Mkopo tunachukua kuendeleza na kukamilisha kwa uharaka miradi yetu ya kimkakati kwa kuzingatia hayo niliyoyaeleza hapa juu ya mkopo,Hata hivyo Tanzania bado Deni letu Ni stahimilivu na ndio maana tunaendelea kukopeshwa na kukopesheka maana mtu hawezi kukukopesha pesa zake Kama anaona huna uwezo wa kulipa na huaminiki.
 
China, India na nchi nyingi za Asia hawamjui mungu na wako mbali sana kwenye maendeleo kuliko sisi tunaong'ang'ania Mungu, Mungu Mungu, huyo Mungu kwa nini ameacha nchi zisiomjua ama kumuabudu ziendelee hadi kutaombe msaada kwao wakati yupo? Hana msaada.

Mungu ni hadithi tu za alinacha, Mungu hayupo. Ni kibwengo tu kimeumbwa kwenye akili za binadamu ila kiuhalisia hakipo.
Kama wewe unamwamini shetani na kumwabudu Basi wewe endelea na ushetani wako Ila sisi watanzania siku zote tunamwamini Sana Mwenyezi MUNGU na kumtanguliza Mwenyezi MUNGU katika kulilinda Taifa letu, ili liendelee kuwa Tulivu na lenye amani kwa kuwapatia viongozi wetu hekima busara maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu katika haki na upendo maana haki huinua Taifa
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa hakika libarikiwe sana tumbo lililombeba mama Samia, lilibeba mtoto aliyekuja kuwa kiongozi wa Tanzania, kiongozi mwenye upendo, hekima, busara, ukarimu, huruma, unyenyekevu na usikivu.

Kiongozi asiye na makuu wala makidai, kiongozi mwenye kujishusha na kujua kuwa pamoja na madaraka yake makubwa kiuongozi lakini bado anabaki kuwa mwanadamu aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye pamoja na uwezo wake mkubwa kimamlaka lakini anatambua kuwa yupo Mungu ambaye ndiye anayepaswa kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu, kiongozi ambaye wakati wote madaraka yamemfuata yeye kutokana na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu.

Kiongozi ambaye mikono yake ameinyoosha katika kuwafuta machozi na kuwapatia haki wenye kuonewa, kiongozi ambaye ulimi wake umewaponya na kuwafariji wenye majeraha na makovu.

Ni kiongozi ambaye hajawahi kufurahi wala kuwa tayari kuongoza taifa la watu wanaolia na kububujikwa machozi kwa kuonewa, hajawahi kuwa tayari kimaneno na hata kimatendo kuhubiri uonevu, ukatili, ubaguzi na hata chuki kwa watu.

Ni kiongozi ambaye ulimi wake muda wote ni wenye kutoa maneno ya upendo mshikamano na kujenga umoja wa taifa.

Ndio sababu ya kuungwa mkono na Watanzania wote, ndio sababu ya kupendwa na kuombewa afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia Watanzania, ndio sababu ya kusikilizwa na kufuatiliwa sana kwa hotuba zake, ndio sababu ya kuteka hisia na mioyo ya Watanzania, ndio sababu ya kukubalika kwake na makundi yote, ndio sababu ya umaarufu na ushawishi wake kuwa mkubwa sana Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Rais samia ni nuru katikati ya giza, ni tumaini katikati ya waliokata tamaa, ni faraja kwa waliao, ni mpatanishi wa kweli, mpenda haki na mtenda haki, ni Nyota ya alfajiri iletayo matumaini ya pambazuko lililojema.

Ndio sababu ya kila Mtanzania kuwa na matumiani ya pambazuko katika maisha yao na ndoto zao, kila mmoja anao uhakika wa kutimiza ndoto zake na kufikia mafanikio anayoyataka.

Serikali yake imekuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu, kuwawezesha na kuwashika mkono katika kufikia malengo yake. Serikali yake haipo kwa ajili ya kumuonea mtu, kumdhuru mtu, kumtesa mtu, kumliza mtu.

Ni serikali safi ya haki yenye matendo mema na hatua njema, ni serikali yenye dhamira ya kuwatumikia watu kwa upendo na uzalendo mkubwa.

Ndio sababu ya kuona mioyo ya Watanzania ikiwa haina hofu wala wasiwasi, kila mmoja anayo amani moyoni mwake, kila mmoja anayo imani na serikali hii, kila mmoja anaridhishwa na utendaji kazi wa serikali ya Rais Samia.

Viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku wala hawapatikani kila mahali, maana wenye moyo kama wake wa kuweza kumsikiliza kila mtu, kumvumilia kila mtu mwenye kutofautiana nao, wenye kifua kama chake, wenye kusikiliza sauti zote hata zikwaluzazo kwa lugha za ukakasi, kukaa mezani na yeyote, kujumuika na yeyote ni wachache sana.

Viongozi aina yake huja kama mitume kwa ajili ya kuwatumikia watu kwa haki na upendo. Huja wakiwa wameandaliwa na Mwenyezi Mungu, hawaandaliwi na wanadamu wala kwa mipango ya wanadamu, huja wakiwa wamepewa maaarifa na njia za kuongaza.

Mwenyezi Mungu huwapa kila kitu kama ilivyokuwa kwa Musa, huja wakiwa na kibali mkononi cha Mwenyezi Mungu katika ulimwengu wa kiroho. Huja kwa makusudi maalumu, huja kama nyota katikati ya giza, hung'aa na mwanga wao huwa tumaini la watu waitazamayo nyota hiyo, huja wakiwa na majibu ya maswali.

Ndio sababu ya kuona Rais Samia akiwa kipenzi cha Watanzania, ndio sababu ukiona Rais Samia hakauki midomoni mwa Watanzania kwa mema. Amejiandikia ukurasa wake na anaendelea kuandika kitabu chake kitakachosimuliwa vizazi na vizazi kwa mema mengi na makubwa aliyolifanyia Taifa letu yanayobaki kama alama katika mioyo ya watu.

Rais Samia kwake haki ndio kipaombele kwa kuwa anatambua ya kuwa haki huinua taifa. Ni heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi na ufahari wa kidunia.

Rais samia amechagua jina jema kwa kutenda mema kwa Watanzania, yanayomfanya kuwa chaguo la Watanzania kwa muhula wa pili, yanayomfanya apendwe na kuzungumzwa vyema na watu wa makundi yote, rika zote, jinsia zote na vyama vyote.

Rais Samia pamoja na madaraka yake makubwa, ukubwa wa kimamlaka alionao mikononi mwake na katika ulimi wake kikatiba na kisheria, lakini bado anatambua ya kuwa yeye ni mwanadamu na kwamba anayestahili kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu ni Mwenyezi Mungu pekee na siyo mwanadamu.

Ndio sababu ya kuwa mnyenyekevu muda wote, mwenye kujishusha na kuwasikiliza watu wote pasipo ubaguzi wala kuwagawa kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda, ndio sababu ya kuongoza taifa kwa haki na upendo.

Libarikiwe tumbo lililombeba Rais Samia, maana matumbo mengine yanaleta watu Duniani wanaokuja kuleta mateso kwa watu, uchungu katika maisha ya watu, simanzi kwa watu, machozi kwa watu, maumivu kwa watu, giza katika mioyo ya watu, majeraha na uvuli katika mioyo ya watu, kumwaga damu za watu, kunyonga watu, kuua watu, kukatisha na kuzima ndoto za watu, kushindana na Mwenyezi Mungu anayewapa watu pumzi ya kuishi.

Tujitahidi kutenda mema tukiwa hai kwa kadri tuwezavyo ili matendo yetu yasimame kututetea tukiwa hatuna uwezo wa kujitetea wala kufungua vinywa vyetu. Ya Duniani ni ya kupita tu, yanini kuumizana, kutesana, kukatishana ndoto, kujengeana chuki, kuuwana kwa sababu ya mali au madaraka au vyeo?, nani anazikwa navyo?

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Mbowe ndio mtaalamu wa siasa za Tanzania bila hivyo Genge S wangemsumbua Samia sana.
 
Joined July 28, 2022
Post 4,556
Reaction 1,974

Good Job endelea kukaza buti utapewa teuzi mda si mrefu mama anapita humu
 
Kwa nchi ambayo ina wanachi wenye kujielewa, Samia hana sifa ya kua hata balozi wa nyumba 10. Kwa nchi ya vipofu, ndio matokeo yake haya Samia atasifiwa balaa.
Utakufa na chuki zako kwa Rais wetu Hodari mchapa kazi madhubuti imara mzalendo na Jasiri mama Samia suluhu Hassani ,Rais ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika,kiongozi mwenye maono na Dira inayoeleweka ,kiongozi aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti kwa upendo na uzalendo
 
Joined July 28, 2022
Post 4,556
Reaction 1,974

Good Job endelea kukaza buti utapewa teuzi mda si mrefu mama anapita humu
Kwani Nani kakwambia kuwa hii Ni barua ya maombi ya uteuzi wangu,au hujasoma nilichokiandika
 
Kama wewe unamwamini shetani na kumwabudu Basi wewe endelea na ushetani wako Ila sisi watanzania siku zote tunamwamini Sana Mwenyezi MUNGU na kumtanguliza Mwenyezi MUNGU katika kulilinda Taifa letu, ili liendelee kuwa Tulivu na lenye amani kwa kuwapatia viongozi wetu hekima busara maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu katika haki na upendo maana haki huinua Taifa
China ama India ama Vietnam ambao hawamjui huyo Mungu unawazidi nini?
 
Hakika Rais Samia Suluhu alizaliwa kuja kuikomboa Tanzania katika mikono ya wachumia tumbo na waliokua hawajali haki za wananchi bali kujijali wenyewe lakini yeye ameingia madarakani amefungua soko la ajira mzunguko wa pesa ni mkubwa sana mtaani jana tumeona amezindua mradi mkubwa wa kilimo na lengo ni kuajiliri vijana zaidi ya milioni 3 hakika watanzania tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kutupa kiongozi alieleta neema Tanzania
Umenena ukweli mchungu na Sina cha kuongeza maana umemaliza kila kitu kwa hoja yako iliyoshiba na kujitosheleza
 
Utakufa na chuki zako kwa Rais wetu Hodari mchapa kazi madhubuti imara mzalendo na Jasiri mama Samia suluhu Hassani ,Rais ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika,kiongozi mwenye maono na Dira inayoeleweka ,kiongozi aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti kwa upendo na uzalendo
Kusema ukweli imekua ni chuki tena. Samia ana maono gani?
 
Kusema ukweli imekua ni chuki tena. Samia ana maono gani?
Tumefika hapa tulipo na kuwa Taifa la kupigiwa mfano kutokana na maono makubwa aliyo nayo mh Rais katika kulipaisha kiuchumi Taifa letu,Ndio maana unaona ameweka mazingira na kusimamia vyema Sera za kiuwekezaji ili kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini, Ni maono ya Rais Samia yaliyopelekea kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu ili kuzalisha wasomi wengi wa fani mbalimbali watakao litumikia Taifa letu katika nyanja mbalimbali
 
Umejitaidi kutoa uchafu wako kichwani. Vp unajisikiaje baada ya uharo wako huo
Jenga hoja ewe mtanzania usiye na adabu Wala hekima katika kuandika kwako,acha kutumia maneno ya ukakasi utafikiri mtu ambaye ulikosa malezi ya wazazi wako katika makuzi yako
 
Tumefika hapa tulipo na kuwa Taifa la kupigiwa mfano kutokana na maono makubwa aliyo nayo mh Rais katika kulipaisha kiuchumi Taifa letu,Ndio maana unaona ameweka mazingira na kusimamia vyema Sera za kiuwekezaji ili kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini, Ni maono ya Rais Samia yaliyopelekea kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu ili kuzalisha wasomi wengi wa fani mbalimbali watakao litumikia Taifa letu katika nyanja mbalimbali
Tanzania toka lini haijawahi kua taifa la mfano? Toka enzi za Mwalimu Tanzania ni taifa la mfano. Hiyo sio hoja.

Leta hoja nyingine.
 
Aisee umefika mbali sanaa ankolii.

Inatosha sasa, mvua zimeanza nenda kapande njugu mawe zitakusitiri msimu wa kiangazi ,
haya mambo ya uteuzi yamebuma kubali yaishe, move one ankolii.
 
Back
Top Bottom