Aah badala ya suprys karaha

Aah badala ya suprys karaha

dakings

New Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Unajua unapofanya suprise uwe makini,kulikua na mr na mrs wanaish vzur,siku moja mr alikua na furaha sana akarudi nyumbn akaingia chumbn akamuacha mrs sebuleni,akabadilisha line ya simu ili amsuprize mrs wake,akapiga
mr:halo darlin...
Mrs:subiri kidogo hili nguruwe lipo ndani...

Sijui kilifata nn,je mr ataridhka au atafanya nn!
 
duh kama ilipita hapa jamvini ya nn kuirudisha tena
 
Issue sio infidelity hapo...issue kubwa hapo ni kuitwa 'nguruwe' mbele ya mwanaume mwenzako..
 
HUSBAND: Well guess what,the one you call pig screws ur s..."Ooops later!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom