mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,077
- 4,114
- Thread starter
- #41
Kaibeba kwasababu alijua wimbo ungejibeba wenyewe ndo maana kaukomalia.Diamond ndio kaibeba Kwangwaru
Kaibeba kwasababu alijua wimbo ungejibeba wenyewe ndo maana kaukomalia.Diamond ndio kaibeba Kwangwaru
mkataba wa miaka 10? huo mkataba wa kukod mgod
Rich mwenyewe kakiri diamond alikuwa anataka atoe nyimbo mfululizo ila yeye ndo hakuwa tayari
soma vizuri..alitaka kokoro afanye collabo na Davido ili apae kimataifa..mond akakazaAlafu hiii mada imekaa kinafki kwasababu mavoko alisaini WCB wakati ana hali mbaya kimuziki na baada ya kuna WCB ndio akaanza na nyimbo ya imebaki story nayo ikahit, ikaja KOKORO ndio uspime tena kamshirikisha Diamond sasa kama diamond alikuwa ananyimwa usingizi na mavoko aliwezaje kumruhusu kutoa ngoma kali kama kokoro, ?
Mavoko kujitoa wcb ndio atapotea kabisa wait and see
Alitaka yy au alimwomba Diamond amuunganishe kwa Davido? Mbona hakukaza Rudi aliyofanya na Patoranking na video umeshutiwa na Moe Mussa London UK.Diamond angekuwa mkazaji basi Shetta asingefanya Shikorobo na KCEE na Madee asingefanya nyimbo na Teckno, Maphorisa, hizo collabo zote mond ndiye aliye connect.soma vizuri..alitaka kokoro afanye collabo na Davido ili apae kimataifa..mond akakaza
So mijadala yote negative ina maana ni wivu wa success auA young, powerful & famous musician from East Africa.... the owner and C.E.O of Wasafi Company Inc. possessing W.C.B label, Wasafi studios, Wasafi media group, Chibu perfume, and Diamond karanga. Due to his influence on social media... he has been trusted by most of companies and given lots of endowsements in companies like cocacola, vodacom, gsm, safaricom kenya, belaire from france, chill sauce, and currently working with Gucci... so ndo hivo ndo maana vijana wengi wanamjadili huyu jamaa
Ndo Huyu jina lake lingine mwakyembe?Ni waziri wa michezo na burudani
Yeah unajua ambacho kinatusumbua sie wabongo ni wivu wa kwanini yeye kafanikiwa? Mara wamzushie freemason, mara shoga, mara cjui mchawi, ilimradi tu wamejickia kumnanga tu kijana wa watu lakin hawafikirii kuwa hata wao wananafasi ya kuhustle na kuzfikia level za mond...So mijadala yote negative ina maana ni wivu wa success au
Hakuna jambo baya kama kumtumainia mwanadamu mwenzioMavoko soon atakuwa juu kama yote, subiri Boss Ruge apone muone, NASEMA subiri Boss Ruge afanikiwe kupona muone kampeni za kumkabidhi Mavoko kiti cha ufalme zitakavyo-damshi.
jiulize kwa nini hawakujadili wewe,pia naswali,hivi kwa nini watu wanamjadili sana jokate wiki hii?Hivi Huyu diamond ni nani mbona watu wanamjadili sana..?
Huyu mleta mada ni dhahiri ana lake moyoni tu, Mavoko kabla ya kuingia WCB alikuwa ashapotea kama vile kaacha mziki, Leo unasema alikuwa top wakati WCB ndo kafufukia.... Mavoko na Bob Junior binafsi kwa maoni yangu walikuwa sawa kwa kipindi hicho.....Alafu hiii mada imekaa kinafki kwasababu mavoko alisaini WCB wakati ana hali mbaya kimuziki na baada ya kuna WCB ndio akaanza na nyimbo ya imebaki story nayo ikahit, ikaja KOKORO ndio uspime tena kamshirikisha Diamond sasa kama diamond alikuwa ananyimwa usingizi na mavoko aliwezaje kumruhusu kutoa ngoma kali kama kokoro, ?
Mavoko kujitoa wcb ndio atapotea kabisa wait and see