A-Z Rich Mavoko kuondoka WCB - Mchawi Babu Tale na Sallam

mkataba wa miaka 10? huo mkataba wa kukod mgod
Rich mwenyewe kakiri diamond alikuwa anataka atoe nyimbo mfululizo ila yeye ndo hakuwa tayari

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya WCB, Harmonize na Rich Mavoko wanadaiwa kuwa na mkataba wa miaka 10 na WCB na mtu ambaye atataka kuvunja mkataba atatakiwa kulipa fidia isiyo chini ya tsh milioni 10. Lakini mikataba yao inaweza kubadilika muda wowote kutokana na mafanikio ya wasanii hao. Mikataba ya wasanii wengine imekuwa ni siri kubwa lakini nadhani umepata picha kwamba WCB ni label ya namna gani mpaka sasa.
 
Alafu hiii mada imekaa kinafki kwasababu mavoko alisaini WCB wakati ana hali mbaya kimuziki na baada ya kuna WCB ndio akaanza na nyimbo ya imebaki story nayo ikahit, ikaja KOKORO ndio uspime tena kamshirikisha Diamond sasa kama diamond alikuwa ananyimwa usingizi na mavoko aliwezaje kumruhusu kutoa ngoma kali kama kokoro, ?

Mavoko kujitoa wcb ndio atapotea kabisa wait and see
soma vizuri..alitaka kokoro afanye collabo na Davido ili apae kimataifa..mond akakaza
 
Hivi wabongo mna shida gani na vijana wenzetu wenye mafanikio ?

Hizi chuki zenu za kibwege znawapunguzia lifespan.
 
soma vizuri..alitaka kokoro afanye collabo na Davido ili apae kimataifa..mond akakaza
Alitaka yy au alimwomba Diamond amuunganishe kwa Davido? Mbona hakukaza Rudi aliyofanya na Patoranking na video umeshutiwa na Moe Mussa London UK.Diamond angekuwa mkazaji basi Shetta asingefanya Shikorobo na KCEE na Madee asingefanya nyimbo na Teckno, Maphorisa, hizo collabo zote mond ndiye aliye connect.
 
Last edited:
A young, powerful & famous musician from East Africa.... the owner and C.E.O of Wasafi Company Inc. possessing W.C.B label, Wasafi studios, Wasafi media group, Chibu perfume, and Diamond karanga. Due to his influence on social media... he has been trusted by most of companies and given lots of endowsements in companies like cocacola, vodacom, gsm, safaricom kenya, belaire from france, chill sauce, and currently working with Gucci... so ndo hivo ndo maana vijana wengi wanamjadili huyu jamaa
So mijadala yote negative ina maana ni wivu wa success au
 
Alafu hiii mada imekaa kinafki kwasababu mavoko alisaini WCB wakati ana hali mbaya kimuziki na baada ya kuna WCB ndio akaanza na nyimbo ya imebaki story nayo ikahit, ikaja KOKORO ndio uspime tena kamshirikisha Diamond sasa kama diamond alikuwa ananyimwa usingizi na mavoko aliwezaje kumruhusu kutoa ngoma kali kama kokoro, ?

Mavoko kujitoa wcb ndio atapotea kabisa wait and see
Huyu mleta mada ni dhahiri ana lake moyoni tu, Mavoko kabla ya kuingia WCB alikuwa ashapotea kama vile kaacha mziki, Leo unasema alikuwa top wakati WCB ndo kafufukia.... Mavoko na Bob Junior binafsi kwa maoni yangu walikuwa sawa kwa kipindi hicho.....

Ongea yote ila si kudai Mavoko kapotea alipoingia WCB , pale walau palimrudisha kwenye ramani ya mziki.
 
Back
Top Bottom