Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mkazi wa Mtoni Kijichi akishiriki kuzima moto uliotekeza makazi ya mama mmoja hivi. Nilipoiangala picha hiyo nilibakia kujiuliza kama juhudi zetu katika mapambano haya zinalingana na uzito wa kazi iliyopo mbele yetu au we are fighting the proverbial "losing battle"? Kweli tunaweza au tuache magari makubwa kufanya kazi hii (assuming the get there on time na wana maji ya kutosha!)