A special day

lol!! naona umegoma kurudi mwenyewe πŸ™‚πŸ™‚ haya rukhsa kurudi enzi hizo na na kila kitu cha leo...mbona itakuwa raha. Good day πŸ™‚πŸ™‚

 

haaaa we pacha usidanganyike
huyo mumeo kama hakupi ruhusa
anataka kukugeuza sufuria?yani ukae ndani tu?
toroka bana,mi mwenyewe namtoroka loya aalaaa!!!!!
 
Asanteni sana. Yaani Erickb52 niishi longer kama bi kidude naamini Mungu ameshasikia sala hiyo asante sana . Shukrani ziwaendee Mentor , Kaizer , cataliya , YOUNGMUSHI na wengine wote mbarikiwe mno.
 
Last edited by a moderator:

haaaa we pacha usidanganyike
huyo mumeo kama hakupi ruhusa
anataka kukugeuza sufuria?yani ukae ndani tu?
toroka bana,mi mwenyewe namtoroka loya aalaaa!!!!!

hahahaaa....... Pacha nataka nitorokee mtaa wa kule chini kabisa nasikia leo kuna baikoko la kiume ndio wanasanua atii!!!!!!!
 
hahahaaa....... Pacha nataka nitorokee mtaa wa kule chini kabisa nasikia leo kuna baikoko la kiume ndio wanasanua atii!!!!!!!

hahahaaa!!baikoko la kiume?
nipitie na mimi natorokea mlango
wa nyuma ili twende wote mweeeh!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…