Sura sio kitu lakini. Mkwanja na class tu. Bey hapindui hapa, japo haters wana-diss regurlary
![]()
RRONDO nisha-show love kwa Jigga man mara kadhaa pia. Si anatuwakilisha?
I scored 19/20
I am sure wapo wa 20/20
But not me... hiyo namba sita mmeweka vitu vingi sana... wengine hawapigi wala hawaabuse but wanapiga nje japo mara moja kwa mwaka
Mngeipambanua namba sita tupate maksi zaidi
Ha ha haaa haijakaa poa sana. . . . Namba sita ina ukakasi kidogo
kama hana hela hizo sifa hazina maanaYaani usingetaja bajeti yangu ningeomba ban!!! Huyo mwanaume bila kuwa loaded hizo sifa 21 zote hazina maana kwako na miss chagga na wenzenu #TeamYMCMS #TeamYoungMoneyCashMoneySisters
itakuwa wa huko huko ila wansishi bongoni wanaume wa wapi hao unaowaona!!? usikute upo syria myn
Labda sio wanaume wa nchi hii itakuwa huko kwa wenzetu na kama wapo bas 2 kati ya 150
We umejaribu wangapi wa nchi yako??!!
Nimejaribu wote bado ww
It is not your Dad my Dear, It is your Mom who kept the secret.I can't thank the Heaven enough for the life of my father. He is a top notch papa and hubby to our mama... yaani daah hadi nakosa cha kusema
Which secret swt?It is not your Dad my Dear, It is your Mom who kept the secret.
Ha ha ha nimependa ujasiri wako. . . usikate tamaa
ndoa mpya?