Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,632
Mimi hapa .....
Hongera binamu
Mimi hapa .....
Ooh nope you haven't.... "Noted"Excuse me Ma'am, have i ever mentioned how daddy's little girls are so my type? I'm just saying.

Usimsahau na baba angu banaUnfortunately nahisi ni baba yangu tu ndo mwenye sifa hizo...kaka yangu anamfuatia kwa mbaaalii
10. He makes time to eat with his family at the dinner table. Dad has to be there.
13. He prays for his family. He knows he needs God to be the best dad and to raise his children the right way. As for me and my household, we will serve the Lord.
KATIKA HABARI NYINGINE:
[/COLOR]Huwa nawaza sana, wazazi waishio Dar wanafanyaje? wanapata kweli muda na watoto wao? Mimi tu natoka Mwananyamala kwenda Kigamboni nafika saa mbili/tatu, vipi hao watoto watakuwa macho?
Nyumbani kwa wazazi wangu, chakula cha jioni tulikula wote, chai ya asubuhi jumapili tulikunywa wote. Ilisaidia bonding ya familia na kujifunza table manners and other etiquette!
"A house that prays together stays together."
Nimeliona hili kwa wazazi wangu.
- Kila mtu huomba kivyake
- wao huomba wawili asubuhi
- familia nzima huomba pamoja jioni.
[/SIZE]
Tena wewe ndio hata sifa moja hapo huna, so acha kujifariji
just try me... but kwa contract, usijezidiwa ukafanya for life!!!
nb: hiyo red ni warning... incase ukisema sikukutaharifu before
nadhani labda unaongelea mbwa aliyefunzwa na si wanaume nao wasikia na kuwaona na kuwafahamu
Maisha siyo rehasal dogo, ohoooo, nilishapita hizo stage za majaribio.
Paulo Sergio De Souz hiv ni ma-handsome tu na ma-beauties ndio wana hizo tabia mnzuri maanake naona kwenye thread zako kuna ma hb tu....sisi wabaya mbona hatuwekwi??!!
Na bajeti zako za mihogo uwekwe ili? Teh teh teh! Hujambo ex shemeji?
Ha ha haaa bro hivo na misura kovu yetu tunajali familiaPaulo Sergio De Souz hiv ni ma-handsome tu na ma-beauties ndio wana hizo tabia mnzuri maanake naona kwenye thread zako kuna ma hb tu....sisi wabaya mbona hatuwekwi??!!
Ha ha haaa bro hivo na misura kovu yetu tunajali familia
Ooh nope you haven't.... "Noted"![]()
![]()
![]()
Hahaha sijui nani kaniandikia hapo. Twende wote basi huko unapoenda tehRR napita tu....
Lakini sijawahi kuona picha ya sura kama zetu kwenye thread kama hizi!!! Halafu sisi wenye sura ngumu tuna huruma na roho safi kweli kweli...