Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Jamaa mmoja mzungu alikuwa anakatiza gengeni na nyani wake, yule nyani akanyakua ndizi na kula, mwenye genge (a black man by the way) aka mind, yule mzungu akamwambia unalalamika nini na hali aliyekula ni ndugu yako? mwenye genge akanywea kutokana na kauli ile, baadaye yule mzungu akakuta nyani wake ameuawa, akamuuliza mwenye genge kwa nini umemuua nyani wangu, mwenye genge akamjibu "HAYAKUHUSU HAYA NI MAMBO YETU YA KIFAMILIA" lol!!