A letter to my future lover

Nlikuwa kama wewe tu unachowaza sa hivi na sasa nmeshtuka kwamba mtu wa aina niliyemfikiria akilini hayupo sababu hata dada yangu tu wakuzaliwa nae hafanani kitabia na mimi


Toka katika ujinga huo kabla ujachelewa
Take this advice or get the *** out of here.
 
Sasa mkuu mbona na kwenye ndoa hamkuwagi hivyo eti?? Mnasemaga eti mwanaume hatakiwi kuongea sana yeye ni kupiga tu??
Mimi mkuu siyo muumini wa unyanyasaji wa aina yoyote lakini pia siamini katika ndoa. Naamini ndoa ni obsolete na jamii ina nafasi kubwa ya kustawi kama mwanamke na mwanaume watashirikiana bila kuoana.
 
Wao kututukana wanaona kawaida.
Hawataki tufanye kazi..ukikubali usifanye manyanyaso yake Sasa...unakula matusi kila siku
Umeona eenh?? Yaani sijui wana shida gani eti acha kazi ukiacha manyanyaso sasa sijui mtu ufanyaje!!
 
Mimi mkuu siyo muumini wa unyanyasaji wa aina yoyote lakini pia siamini katika ndoa. Naamini ndoa ni obsolete na jamii ina nafasi kubwa ya kustawi kama mwanamke na mwanaume watashirikiana bila kuoana.
Sawa
 
Hahahaha..kwani nani kasema anakutaka. Nenda ukafuge ndevu usinichoshe.
 
Hmmm...try harder.
 
Inaonekana unajua unachokitafuta; na ni haki yako kukitafuta mpaka ukipate. Shida kubwa katika jamii yetu ni kwamba watu wamejivika uhakimu wa kuamria watu wengine waishije. Kumbe kila mtu ana haki kabisa ya kuishi atakavyo na kufanya akipendacho ali mradi tu asivunje sheria. Ndiyo. Umeweka vigezo vingi sana katika huyu mwenzi unayemtafuta lakini ni haki yako. Cha muhimu tu jaribu kumshirikisha Mungu (kama unamwamini). Kwa tunaoamini na wenye exposure kidogo na mambo haya hili ndilo jambo kubwa kabisa katika kutafuta mwenzi wa maisha. Kapate unachokitafuta
 
Asante Shimba.
 
Roger that!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…