sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Akuuu sijaandika mimi, kuna mtu atakuwa kaiba p'word yangu!
Last edited by a moderator:
Akuuu sijaandika mimi, kuna mtu atakuwa kaiba p'word yangu!
Nigombane nae kisa nini wakati Filipo niko nae mda wote, wewe huoni marejesho anavyohangaika kulirudisha penzi lililopotea?
achana nae huyo analeta majungu!
Madam B Ujue ulinirusha roho sana... Alikuwa anavunja jungu?
Madam B Ujue ulinirusha roho sana... Alikuwa anavunja jungu?
Heheheheeee we mkareeeee
Mwaaaaah! You are my only one too Filipo! Wambie Erickb52 na Arushaone waache kuingilia penzi letu! Umkanye na marejesho pia.Usiwasikilize hao dear! Hao ni wale wasiopenda penzi la Filipo na marejesho lidumu! Nakupenda kama samaki na maji, kidumu na mfuniko, mlevi na pombe, kufuli na ufunguo, soda na opener, nyani na ndizi, kigoda na makalio, paka na maziwa. Preta, Arushaone, Erickb52, @Blaki Woman, Kabakabana, Mungi, PakaJimmy ni mashaidi, sweetlady tu ndio hatutakii mema! You are my only one!
Morning sweetheart!nimegundua hata wewe ni mpinzani!
Morning sweetheart!