A Golden Opportunity!

MNDEE

JF-Expert Member
Jul 10, 2009
491
68
Documentary ya wachimbaji wadogo wadogo - maisha bora kwa kila mtanzania!

[ame="http://vimeo.com/7690704"]http://vimeo.com/7690704[/ame]
 
MNDEE,

Shukran kwa video hiyo

Hapa najiuliza sasa eti JK anaenda kumuambia Mugabe ashughulikie mambo ya wananchi wake..........i mean what a joke........

Kinachonishangaza zaidi ni kuona wananchi wa mameneo hayo hayo wanzidi kukpigia kura Chama Kilichowaletea maafa ya kila aina.............safari ni ndefu sana
 
MNDEE,

Shukran kwa video hiyo

Hapa najiuliza sasa eti JK anaenda kumuambia Mugabe ashughulikie mambo ya wananchi wake..........i mean what a joke........

Kinachonishangaza zaidi ni kuona wananchi wa mameneo hayo hayo wanzidi kukpigia kura Chama Kilichowaletea maafa ya kila aina.............safari ni ndefu sana

Tatizo wananchi ni wepesi kusahau, na hudanganyika kirahisi kwa ahadi hewa zinazoambatana na takrima.
 
Tatizo uelewa na ujasiri wa kuthubutu watanzania wa sasa ni waoga sana na hawajali ni sawa na watoto hudanganywa kiurahisi kwa kupewa kofia na kanga,ukiangalia angalau kidogo mijini kuna muamuko wa kujua mazuri na mabaya,huko vijijini ndiko kuna ukosefu mkubwa wa huduma na ndiko kuna watu wengi lakini unapowaambia CCM ndio imewafikisha hapo na angalieni upande mwingine hawakuelewi wanakuona mhuni sasa watu wavijijini mpira ndo huo uko kwenu,chagueni kusuka au kunyoa
 
Tatizo uelewa na ujasiri wa kuthubutu watanzania wa sasa ni waoga sana na hawajali ni sawa na watoto hudanganywa kiurahisi kwa kupewa kofia na kanga,ukiangalia angalau kidogo mijini kuna muamuko wa kujua mazuri na mabaya,huko vijijini ndiko kuna ukosefu mkubwa wa huduma na ndiko kuna watu wengi lakini unapowaambia CCM ndio imewafikisha hapo na angalieni upande mwingine hawakuelewi wanakuona mhuni sasa watu wavijijini mpira ndo huo uko kwenu,chagueni kusuka au kunyoa

Hakuna mabadiliko lakini mwaka nenda mwaka rudi viongozi wale wale wanarudi kuomba kura na wanachaguliwa. Tatizo linaanzia kwenye chombo kinachopitisha wagombea, wenye nazo na 'wenzetu' ndio wanapitishwa. Pia kukosekana kwa upinzani serious nako ni tatizo, wananchi wakitupiwa pilau, fulana na doti ya kanga mchezo umekwisha.
 
Hakuna mabadiliko lakini mwaka nenda mwaka rudi viongozi wale wale wanarudi kuomba kura na wanachaguliwa. Tatizo linaanzia kwenye chombo kinachopitisha wagombea, wenye nazo na 'wenzetu' ndio wanapitishwa. Pia kukosekana kwa upinzani serious nako ni tatizo, wananchi wakitupiwa pilau, fulana na doti ya kanga mchezo umekwisha.

Bado Vyama vya ushindani havijafanya kazi nzuri huko vijijini. wao hufika huko wakati wa uchaguzi zaidi kulik nyakati za kawaida........hili ni tatizo na wasipoli-address CCM wataendelea kushinda....kwani wao wanaonekana sana kuwa wako karibu na wananchi.....
 
Bado Vyama vya ushindani havijafanya kazi nzuri huko vijijini. wao hufika huko wakati wa uchaguzi zaidi kulik nyakati za kawaida........hili ni tatizo na wasipoli-address CCM wataendelea kushinda....kwani wao wanaonekana sana kuwa wako karibu na wananchi.....

Hawa jamaa nao ni yale yale uroho wa madaraka, ubinafsi na ufisadi ndio kinachowapeleka ikulu. Kama wako serious na wana uchungu na nchi hii hata kama hawaungani wangesimamisha mgombea mmoja anayekubalika na mwenye sifa aende sambamba na CCM.
 
Back
Top Bottom