Wewe uliishia pale, nami nikataka niishie hapa; lakini naona bado upo. Sasa sijui tufanyeje?Mkuu nadhani nimesema tuishie hapo tulipofika- sijui kama umenielewa?
Wewe uliishia pale, nami nikataka niishie hapa; lakini naona bado upo. Sasa sijui tufanyeje?Mkuu nadhani nimesema tuishie hapo tulipofika- sijui kama umenielewa?
Nadhani la kuchukua kutoka kwangu ni hili kwenye Lissu na Zitto wote ni wanaharakati na wapenda sifa.Wewe uliishia pale, nami nikataka niishie hapa; lakini naona bado upo. Sasa sijui tufanyeje?
Professorial rubbish za Ossoro na MrumaRipoti ipi ya uongo aloitoa shujaa magufuli?
Iweke hapa tuione
"Uanaharakati" maana yake ni nini; kwamba iwe sifa mbaya kuwa nayo kiongozi. Uanaharakati ni kuwahujumu wananchi?Nadhani la kuchukua kutoka kwangu ni hili kwenye Lissu na Zitto wote ni wanaharakati na wapenda sifa.
Mwanaharakati ni mtu anayetengeneza tatizo ambalo halipo, analitafutia ufumbuzi na kujipa sifa mwenye kwa kulitafutia ufumbuzi"Uanaharakati" maana yake ni nini; kwamba iwe sifa mbaya kuwa nayo kiongozi. Uanaharakati ni kuwahujumu wananchi?
Uanaharakati wa Zitto ni upi, binafsi siujui, lakini anayo mambo kadhaa yanayomwondolea kuwa na sifa za kuiongoza nchi kwa utulivu.
Kwa maana hiyo ni kuwa wewe huoni tatizo lolote katika siasa za Tanzania! Wewe utakuwa unafaidika sana na hizi takataka zilizopo sasa.Mwanaharakati ni mtu anayetengeneza tatizo ambalo halipo, analitafutia ufumbuzi na kujipa sifa mwenye kwa kulitafutia ufumbuzi
Mkuu nimesomeshwa na serikali- unataka nifaidike na nini zaidi wanipe dawa ya kutokufa?Kwa maana hiyo ni kuwa wewe huoni tatizo lolote katika siasa za Tanzania! Wewe utakuwa unafaidika sana na hizi takataka zilizopo sasa.
Sasa kama Lissu anatafuta kutatua ufumbuzi wa matatizo yasiyokuwepo, basi anastahili kuungwa mkono vilevile.
Katika hilo sidhani kuwa unaweza kuishinda hadithi niliyo nayo mimi.Mkuu nimesomeshwa na serikali- unataka nifaidike na nini zaidi wanipe dawa ya kutokufa?
Mkuu, nadhani nawe ni mwanaharakati mwingine na sina namna ya kukusaidia.Katika hilo sidhani kuwa unaweza kuishinda hadithi niliyo nayo mimi.
Sasa kama ulisomeshwa na serikali, halafu ikawa ndiyo rushwa ya kununua uwezo wa akili yako kutambua na kuchambua mambo, hapo tutakuwa tunapishana sana.
Inabidi nitie mashaka kama kweli ulielimika!
Hiyo sifa ya 'uanaharakati' kama unavyo ielewa wewe hainipi shida hata kidogo, na wala sidhani unao uwezo wa kunisaidia kivyovyote.Mkuu, nadhani nawe ni mwanaharakati mwingine na sina namna ya kukusaidia.
Mimi naishi kwa akili yangu na kufuta natural laws.
Nadhani la kuchukua kutoka kwangu ni hili kwenye Lissu na Zitto wote ni wanaharakati na wapenda sifa.
Mkuu, nadhani nawe ni mwanaharakati mwingine na sina namna ya kukusaidia.
Mimi naishi kwa akili yangu na kufuta natural laws.
Ndivyo ulivyoaminishwa na Jenerali Ulimwengu maana aliwahi kuyasema haya kuhalalisha uanaharakati wakeKama kuna binadamu asiye mwanaharakati basi huyo ni mfu.
HATERS vs MCHAFUZIHaters
Nadhani tulishakubaliana huna cha kunisaidia na miye sina cha kukusaidia pia. DONE. In respect to my observance of natural laws, it is obvious one can not subscribe to what one does not know.Hiyo sifa ya 'uanaharakati' kama unavyo ielewa wewe hainipi shida hata kidogo, na wala sidhani unao uwezo wa kunisaidia kivyovyote.
Hizo "'natural laws'" unazodai kuzifuata, unazielewa vizuri lakini?
Mnateseka sana Tundu HazuilikiHATERS vs MCHAFUZI
What the heck is that? Do you have an option to conforming to "'gravitational pull" for example, other than accepting it whether you know it exists or not?observance of natural laws
Nature + Natural law= RealityWhat the heck is that? Do you have an option to conforming to "'gravitational pull" for example, other than accepting it whether you know it exists or not
Sawa na yeye pia hana uwezo wa kutuzuiaMnateseka sana Tundu Hazuiliki
Hahaha itafahamika Mr Comte ni swala la Muda tu.Sawa na yeye pia hana uwezo wa kutuzuia