Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,892
'....religion is opium of society...' Karl Marx. so it is not a theoru but ganja. Jinsi wanadamu wanavyozidi kuelewa na kuweza kuyatawala mazingira yao ulimwenguni dini zitakwenda likizo na hatimae kustaafu.
Inamaana watu wanaoamini dini hadi sasa bado hawajajua mazingira yao na kuweza kuyatawala? hebu tuthibitishie hilo.