kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,518
- 7,335
Mungu wangu aweza kuwa tofauti kwani siamini kuna ahera au moto wa milele. Jehanamu na ahera vipo hapahapa duniani. Viumbe vyote hai kwenye umauti ni sawa. game finito. Ukiishi maisha ya wema ahera yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Ukiwa muovu vivyo hivyo jehanamu yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Jamii hai inabidi ikuhukumu kwa wema au uovu wako ungali hai...siku njemaKwani wewe nae hauamini mungu?