ze future
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 204
- 295
Habari zenu humu ndani, baada ya muda mrefu sana kuangaika na namna ya kuweza kujiunga na Jamii Forums hatimae leo nimeweza. Hii ilikuwa ni ndoto yangu ya siku nyingi sana na Mimi nije siku moja kumiliki akaunti katika mtandao huu maana huku kwetu ni heshima kubwa sana mtu kuwemo kwenye Jamii Forums. Haya ni mafanikio makubwa sana kwangu na kwa familia yangu, napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru uongozi mzima wa Jamii Forums kwa kunisaidia kutimiza ndoto yangu hii. Asante sana.