thanks for this, japo nimeambua sawa na sifuri but nimefurah saana.
# this thread open my mind some how #
#thanks for the link#
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki nzima no kula?Ipo lakini inaambatana na meditation.. Kuna funga ya siku tatu mpaka wiki
Jr
Elimu isiyojulikana!!!Kupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
Unaweza bila shaka ila tu ujue kutenganisha hizi imani mbiliGreat thread mkuu mshana jr mm ni mlutheri pure je! Mm naweza kujifunza japo napata kigugumizi na hizo meditation zinaruhusiwa katika dini yangu sitaki kuuacha ukirsto nataka niongeze maarifa tu
Hahhahaaaaa no never ni total celibacy life(maisha kamili ya useja)
Watu wengine ni wabinafsi sana sijui analeta humu kwa faida ya Nani aisee,niheri angebaki na ujuaji wake kuliko kuleta humu harafu anatucheka tusiojua patheticTabia mbaya tu, msituache wenzenu jamani! Niko interested sana na haya mambo hata sijui kwanini! ?
Yaani utadhani unanisema mm yaani sielewi chochote maana mshana Jr anatumia baadhi ya terminology ngumu kumuelewa aisee ila nimesoma kila comment kila AyaDaaah!! hii ni thread ya kwanza ambayo nimesoma kila comment mwanzo mwisho...kiukweli nimebaki njia panda tuu maana sielewi elewi vinavyoongelewa,sometime nakuwa kama napata kinowledge flani hivi lakini sijui ni knowledge ipi,halafu nashangaa navutiwa kuendelea kusoma vitu ambavyo hata sivielewi...may be something happens nafsini mwangu..
mkuu mshana jr hivi mazingaombwe yapo category gani?? nipo interested sana na hii kitu,natamani nijue namna ya kufanya mazingaombwe.
Mshana Jr unatukusea sana wasomaji wako jitahidi kuelezea vizuri yaani unapapasapapasa tu hadi kero unamaanisha nini unaposema kulikuwa kunatokea vibration ukiingia kanisani??Nilikuwa nina uwezo wa kutabiri hatari Neema au chochote, lakini pia niliporudi Tanzania kuna siku nilienda kanisani na wakati naenda kukaa siti za mbele nilikuwa na kitu kama vibration wakati nawapita watu
Lakini pia nimeshasimulia sana hapa JF matukio mengi ya kuibiwa nk na waliofanya hivyo ikala kwao