No way out sasa tafuta manzi mkali zaidi yake MkuuNdio yashotokea hamna namna tena.
No she was your ex girl,and it looks like you still love her.It was stupid of me to go there in a first place.
Kwamba hababaishwi. Wakati kutaka kutoka nae tu tayari ni kuonyesha anababaika nae bado.😂😂😂Kwahio lengo la post hii ni kuonesha umwamba au kitu gani?
Mbona kawaida we si rafiki tu mbona unasusasusa wewe?Okay vyema... But sidhani kama kulikua na haja ya mimi kumsindikiza kwenda ruhusa
Kwamba ni mkorofi sana
Self respect sawa, lakini sio kwa namna hii This is way too muchHahahaha ni kuonyesha umuhimu wa self respect
Kabisa.Ukitaka heshima kwa wanawake USIJALI (Don't Care)
Picha yake tafadhali ili tukija Arusha tujuwe namna ya kumuepuka.Wiki mbili zilizopita ilikuwa niwe na date with my ex, mpenzi wa Chuo. To give you a back story, ni binti ambaye nilidate nae wakati tupo chuo kwa muda kama miezi 4 au 6 hivi. Nilimpenda sana ila unfortunately ndio only mpenzi nilidate nae kwa muda mchache.
Ni mrembo haswa na ana self confidence, hiyo ni advantage ya kukulia familia ya kishua, tuliosomea St. Kayumba na shule za Kata self confidence