A boat from Mutima Isalnd capsized killing at least 30 in Lake Victoria

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,678
68,652
Boats from Mukono which was carrying 100 party goers including Prince Wasajja,Chuks Last King,Mtih and most kampala's party goers.

None of them was wearing a life jacket.

JC1.jpg

TheLastKing.jpg


=======

ZAIDI YA WATU 23 WAFARIKI KUFUATIA BOTI NCHINI UGANDA KUZAMA ZIWA VICTORIA

Watu wengine 40 ameokolewa huku boti hiyo iliyopinduka jana Novemba 24 katika Kaunti ndogo ya Mpatta Wilayani Mukono ikikadiriwa kuwa ilibeba zaidi ya watu 100

Miili ya waliofariki imehifadhiwa katika hospitali ya Kampala kwa uchunguzi huku shughuli za uokoaji zikiendelea ambapo kupata Watu walio hai kwa sasa inaweza kuwa vigumu

Bado chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika lakini kubeba mzigo mkubwa kuliko uwezo wake, matatizo ya kiufundi na hali mbaya ya hewa vinadhaniwa vinaweza kuwa vimechangia

Aidha, katika watu waliokolewa wapo Mwanamfalme David Wasajja, ndugu wa Mfalme wa Buganda Ronald Mutebi, Mwanamuziki Iryn Namubiru na Mfanyabiashara John Fredrick Kiyimba maarufu 'Freeman'

Hii ni ajali nyingine mbaya kutokea katika ziwa hilo kufuatia ile ya mwezi Septemba mwaka huu ambapo Kivuko kilichokuwa kimebeba watu kupita uwezo wake kilizama katika ziwa hilo nchini Tanzania na kuua zaidi ya Watu 200
========

By Sunday morning, at least 23 bodies had been recovered and many still missing after a boat capsized in Lake Victoria.

Bodies of the deceased have been taken to Kampala City Mortuary for post-mortem as search and rescue operation resumes Sunday morning.

“It is a sad moment. UPDF and UPF marine units continue on a search and rescue mission on the waters of Lake Victoria for survivors and those perished in the boat cruise from KK beach,” said army spokesperson Brig Richard Karemire in a statement.

There was no immediate information on the number of passengers aboard the vessel, nor the reason why it sunk.
It was reported to have been carrying more than 100 revellers. Police said last night that they had rescued more than 40 people alive.

Prince David Wasajja, a brother to Buganda King Ronald Mutebi, singer Iryn Namubiru and city businessman, John Fredrick Kiyimba commonly known as Freeman were among those rescued.
Our reporter Jessica Sabano who is at Mutima beach says UPDF and UPF marine units are retrieving more bodies.

“The area LCIII chairperson Patrick Ssajjabi says more bodies have been retrieved from the water this morning. Another man identified as Derrick Owekyo, a resident of Mpatta Island in Mukono District, died in attempt to rescue others, according to Mr Ssajjabi,” says Ms Sabano.

Another of the deceased has been identified as Sheila Mbonimpa, a mother of three and wife to former Kampala City Authority (KCCA) staff, David Ntege who died of heart attack in October last year. She was a sister to UBC TV deputy managing director, Mr Maurice Mugisha. The last post she made on her Facebook wall on October 14 is a photo of her two daughters.

“I just communicated with you yesterday (Saturday) morning after a very long time, little did I know that it was a reunion and farewell, It is so sad that you’ve left this life at such a young age. I pray that God receives your soul in his embrace. Rest in peace beautiful one,” said one Maryn Ny in a post to Mbonimpa’s Facebook wall.

More bodies are said to be trapped in the boat wreckage.

In September an overloaded ferry overturned in Lake Victoria, off the Tanzania coast, killing over 200 people
 
Back
Top Bottom