99.9 % ya Watanzania wote wanataka kuwekeza kwenye kilimo. Vijana tusio na ajira tujipange!

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Matajiri wote mjini wamenunua mashamba na mitambo wameelekeza nguvu zote kwenye kilimo tena kilimo cha kisasa.Kile cha umwagiliaji! Wao wana capital nzuri....

Waajiriwa kwenye sekta binafsi na Serikali wote nguvu imeelekezwa kwenye kilimo. Hawa mishahara yao inawabeba...japo si kwa kiasi kikubwa sana.

Waajiri nao ndo usiseme.Wote nguvu ipo kwenye kilimo na wanafyeka mapori balaa na kuchimba visima na mabwawa. Hawa wako vizuri...

Vijana tuliomaliza chuo tusio na vipande vya ardhi wala mshahara tutatoboa kweli?Maana ndo lilikuwa kimbilio letu.Sasa huko nako kumeingiliwa!

Shit!
 
kwa vijana wa kitanzania hilo wazo watakwambia shithole, ila ungeandika jinsi ya kupata milioni 60 kwa siku 3, wangekuona wa maana sana.
 
Kaa tafakari tafuta fursa katika huo uwekezaji wanaoufanya hao wadau. Mfano jifunze kuendesha mitambo inayotumika huko mashambani.
 
Dawa ni kupambana tu mkuu. Ardhi ni muhimu sana, vijana ukipata fursa ya kuweza kumiliki ni kukomaa tu.
 
Matajiri wote mjini wamenunua mashamba na mitambo wameelekeza nguvu zote kwenye kilimo tena kilimo cha kisasa.Kile cha umwagiliaji! Wao wana capital nzuri....

Waajiriwa kwenye sekta binafsi na Serikali wote nguvu imeelekezwa kwenye kilimo. Hawa mishahara yao inawabeba...japo si kwa kiasi kikubwa sana.

Waajiri nao ndo usiseme.Wote nguvu ipo kwenye kilimo na wanafyeka mapori balaa na kuchimba visima na mabwawa. Hawa wako vizuri...

Vijana tuliomaliza chuo tusio na vipande vya ardhi wala mshahara tutatoboa kweli?Maana ndo lilikuwa kimbilio letu.Sasa huko nako kumeingiliwa!

Shit!
kukiingiliwa si ndio vizuri zaidi? wazalishaji mkiongezeka mtapata soko la china kwa pamoja, bei zitapangika vizuri
 
Back
Top Bottom