Matukutuku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 269
- 126
tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha.
Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24
Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24