93.7 FM Gardner Radio

93.7 FM Gardner Radio

Matukutuku

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
269
Reaction score
126
tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha.

Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24
 
tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha.

Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24

Gardner ni nani? Mwanasiasa ??
 
Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!!

Nadhani huo ni mwanzo tu,.
 
hahahaha gardner ni mume wa jide mkuuu naona umepewa multiple choice chagua jibu sahihi
 
Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!!

Nadhani huo ni mwanzo tu,.
Kwa nini iwe binti machozi, asiwe brother Gardner? Una uhakika gani kama imetafutwa kwa nguvu za Jaydee?
 
tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha.

Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24
Matukutuku
===>Huu ndio ushindani wa kweli,sio kupiga majungu na longolongo mtaani,fanya kazi,pata hela,tumia hela.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom