BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
Muulizeni HENRY MDIMU anajua mmiliki wa hiyo radio.
Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!!
Nadhani huo ni mwanzo tu,.
hahahaha gardner ni mume wa jide mkuuu naona umepewa multiple choice chagua jibu sahihi
Muulizeni HENRY MDIMU anajua mmiliki wa hiyo radio.
Gadna ni mme wa jd na alikua mtangazaji wa clause radio.
Cha kushangaza nini hapa kwa kua jd ana pesa na jina kuliko mumewe ndiyo ajabu! Wabongo bwana mbona ishu za udaku hazina nafasi jf watu wanawaona wapuuzi ktk hili.
ngoja nikujibu gadner ni mume wa mwanamuziki lady jay dee. Au pia huyo lady jay dee humfahamu?
muulizeni henry mdimu anajua mmiliki wa hiyo radio.
mtoa mada alishasema pale mwanzo kuwa ni mume wa jide,ye akaleta mashauzi eti ndo nani. Acha apewe makavu ajifunze
Gadna ni mme wa jd na alikua mtangazaji wa clause radio.
Cha kushangaza nini hapa kwa kua jd ana pesa na jina kuliko mumewe ndiyo ajabu! Wabongo bwana mbona ishu za udaku hazina nafasi jf watu wanawaona wapuuzi ktk hili.
hivi huyu jamaa kaacha kutengeneza chemli na koroboi?
Maana kipindi cha mgao nae anakuwa na nyodo na anaringa na kazi yake....dah iahi ujionee
Gardner ni nani? Mwanasiasa ??