90% wanawake wametoa mimba


Kweli kabisa....
mwanamke akitoa mimba maana yake alompa anahusika pia... tena wanaume ndo hupenda kwenda kavukavu, then wanakuja kuwananga dada zetu....
 

Nakubaliana na wewe kuwa mwanaume ndio catalyst wa wanawake kutoa mimba,kizaa nje ya ndoa etc
 
kabanga mi sikubaliani na mtoa mada maana hizo % zake sijui kazitoa wapi. Ilitakiwa ukijumlisha % za wanawake (waliotoa mimba, waliozaa nje ya ndoa n.k) unapata 100% na wanaume pia ujumla wao uwe 100%
 
Last edited by a moderator:
Wanawake karibu 90% wametoa mimba,

40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume,

40% wamezaa nje ya ndoa zao,

80% wana watoto nje ya ndoa.

Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.

kama ndo ivo wanaume itakuwa balaaa.:A S 109:
 
Kiukweli sio jambo jema kulaum wanawake kwa kutoa mimba au kuzaa kabla ya ndoa.ebu jiweke kwenye nafasi yao utaelewa nin naongelea.Hizo mimba wangekuwa wanazipata kwa kula chakula tungewalaum,wanaume hapa ni chanzo sana.Tuwa onee huruma jaman
 
mnajifanya wanasheriaaa kila kitu source source, kusoma hamjui hata picha hamuoni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…