😛ound:Chanzo cha mwanamke kutoa mimba ni wewe mwanaume. Mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni wewe dume tamak rea. Kila kibaya kinachomuhusu mwanamke ktk mahusiano wewe mwanaume ndio mbaya. ie Kama nimeduu na wewe nikaconsv na ukakubali majukumu mi ninakichaa nikatoe hicho kiumbe, nizae alafu niolewe na mwingne kwa 7bu gani nawewe upo???? Ndio maana cku hizi tunawachakachua na mimba hatubebi mpk mlie na mizimu ya kwenu na mkituoa mkaleta za kuleta dawa mnaijua. :biggrin1:
^^
Ujue kila nikitazama id yako nakumbuka kile kisa cha Mgirik na Mwl Nyerere kuhusu rushwa,
Btw
Mi sio mkubwa wala mdogo wala mwanasaikolojia bali rejea signature yangu.
^^
^^
Ujue kila nikitazama id yako nakumbuka kile kisa cha Mgirik na Mwl Nyerere kuhusu rushwa,
Btw
Mi sio mkubwa wala mdogo wala mwanasaikolojia bali rejea signature yangu.
^^