Hizi ni takwimu tofauti? Au hiyo 80% ina include na wale waliozaa kabla ya kuoa?...wanaume 40% wamezaa nje ya ndoa zao,80% wana watoto nje ya ndoa....
Wanawake karibu 90% wametoa mimba, 40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume 40% wamezaa nje ya ndoa zao,80% wana watoto nje ya ndoa.
wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.
wanawake karibu 90% wametoa mimba, 40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume 40% wamezaa nje ya ndoa zao,80% wana watoto nje ya ndoa.
Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.
Hizi ni takwimu tofauti? Au hiyo 80% ina include na wale waliozaa kabla ya kuoa?
Mkuu hizi takwimu ni za taasisi gani ya utafiti?
Halafu iweje hizo asilimia jumla yake izidi 100% ?
Inawezekana mwanamke mmoja amamtoto kabla kuolewa na ashawah kutoa mimba so its possible
Wanawake karibu 90% wametoa mimba,
40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume,
40% wamezaa nje ya ndoa zao,
80% wana watoto nje ya ndoa.
Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.
Takwimu za lini na je ni kwa wanawake na wanaume wote duniani au eneo fulani tu?
Mambo vipi wangu? Vipi wewe hizo 40% umo?:biggrin1::biggrin1:labda kaweka catogry tofauti tofauti maana