90% ni uongo!

90% ni uongo!

Kama hadi mama na baba wameingia kwenye hiyo 90% yako, so kina nani wamo kwenye 10% ambao na wakweli?

Si ndio hapo, yaani Baba na Mama niwaweke kwenye 90% eti yeye ni muweke kwenye 10%. Tena anawaita wazushi wakubwa!
 
hii ndio hasara ya kuishi kwa mashaka, na muongo siku zote huamini kila mtu ni muongo kama alivyo mwizi
 
Back
Top Bottom