RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,324
- 6,639
Kwahiyo Mtume alikuwaa mweus kumbe ASANTE KWA TAARIFAMwarabu ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,kutoka mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana weupe(machotara wa kizungu na kiarabu(weusi).Kwa hiyo kuna ubaguzi,ni machotara(wa kizungu na kiarabu),kuwabaguwa weusi wenzao,kwa huko kuchanganya weupe wa kizungu
Mwarabu ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na watumwa weupe wa kizungu,kutoka Ulaya ya mashariki,ndio kukapatikana machotara wa kiarabu na uzungu.Hao wanaobaguwa wenzao,ni mchanganyiko wa waarabu weusi(wa asili) na wazungu,wanawabaguwa wenzao.Hapa muhanga mkuu wa haya makitu ni mutu mweusi
Mitume yote,walikuta utumwa upo duniani,hata Yesu,alikutia utumwa upo,,Musa alikuta utumwa upo,ndio alipowakomboa Wanaisrael kutoka utumwani,kuwapeleka nchi ya ahadi.Na Musa alikuja mwanzo kabla ya Yesu.Kwahiyo Mtume alikuwaa mweus kumbe ASANTE KWA TAARIFA
Ok umenivutia nifanye na ww mjadala mdogo naomba unipe periodization ya mtu mweus wa kwaza kukanyaga ASIA au ulaya kama mtumwaMitume yote,walikuta utumwa upo duniani,hata Yesu,alikutia utumwa upo,,Musa alikuta utumwa upo,ndio alipowakomboa Wanaisrael kutoka utumwani,kuwapeleka nchi ya ahadi.
Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka Afrika,kwenda huko,mashariki ya kati.Inasemekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na rab,chotara wa kizungu.)Ok umenivutia nifanye na ww mjadala mdogo naomba unipe periodization ya mtu mweus wa kwaza kukanyaga ASIA au ulaya kama mtumwa
Mkuu una tiririka ila neno tu AFRICA naomba nikwambie haijulikan ni nan aliazisha kuna debate kuhusu the word Africa...so kwa maelezo yako unamaniisha historical inhabitants of asia walikuwa ni waaarabu weusi????.....utumwa sikati umeaza miaka mingi mfano China walikuwa under slavery kwenye DYNASTY zao lkn watumwa walikuwa wachna wenzao hao weusi unaosema ww hapa middle east na ulaya walitoka wapi?????Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka huko,mashariki ya kati.Inademekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na ran(chotara wa europe)
Wameandaa wao wakijiweka lengo halitatimiaYani katika hii list kuikosa Italy,USA,China.
List haina maana pia kuikosa Spain na Israel hii list haimeki sensi
Mafala sana.Wameandaa wao wakijiweka lengo halitatimia
India haifai kuzamiaWahindi ubaguzi ni moja ya jadi yao, huko kuna classes (castes), caste ya kwanza ni Wafanya biashara/matajiri, ya pili ni wanasiasa, ya tatu ni wafanya kazi/ middle class na nne na mwisho ni wale wa haki ya chini sana ambamo humo ndimo kuna ombaomba nk,--- kumbuka pia class zote hizo ni Indians isipokuwa ni makabila tofauti tofauti tu, sasa kama Muhindi anaweza kumbagua muhindi mwenziye vipi wewe mtu mweusi usiyekuwa Muhindi??!!.
Kuhusu Waisraeli, wao ubaguzi unaanza ndani ya Torati yao, ubaguzi ni mafundisho ya dini yao, na mfano ni huko kwao Israeli ambapo Waizraeli wa asili ya Ethiopia (mafalasha) Wanabaguliwa kishenzi.
.... umma wa hakhiiii! Mabaguzi balaa; nadhani ndicho "kilichomuwasha" zaidi.
Mtu wa kwanza kusafiri duniani,ni mtu mweusi,alitokea Afrika .Kabla hata mzungu,hajasafiri kokote.Na mtu wa kwanza kuumbwa duniani ni mtu mwenye rangi nyeusi,kwa mujibu wa Qur'an,kwamba ulitumika udongo mweusi ndio kuumbwa binadamu.sisi ndio tunawaita waarabu watu weupe,lakini mzungu, anamuhesabu muarabu ni mtu mweusi.Na ndio ukaona duniani kote,aliyechanya weupe na weusi ndio anaitwa chotara(AfroAmerika,Afro...nk,au halfcast)Mkuu una tiririka ila neno tu AFRICA naomba nikwambie haijulikan ni nan aliazisha kuna debate kuhusu the word Africa...so kwa maelezo yako unamaniisha historical inhabitants of asia walikuwa ni waaarabu weusi????.....utumwa sikati umeaza miaka mingi mfano China walikuwa under slavery kwenye DYNASTY zao lkn watumwa walikuwa wachna wenzao hao weusi unaosema ww hapa middle east na ulaya walitoka wapi?????
Acha ujingaKwa hiyo mashehe weusi wa kutoka Mali, Niger, Nigeria, wajaluo bora watafute kazi nyingine.
😛😛😛
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?
Mwamba nakubali kwenye CREATION THEORY zpo mbili...ile ya Darwin tunaita scientific na ile ya biblical yaan kuhusu dini kama ilivoandkwa .,.lkn twende taratibu MWAFRIKA wa kwaza kwenda yeye mwenyew ULAYA hata kabla ya kina VASCO DA GAMA NA BARTHOLOMEW DIAZ hawajaja huku ni nan?? Je unaweza kunipa maandko yako yapo kitabu gan tuone huyo mweus aliaza safar karne gan alitoka pande ipi alitumia usafiri gan na alikaa ulaya au asia had kumix race kwa karne ngapMtu wa kwanza kusafiri duniani,ni mtu mweusi,alitokea Afrika .Kabla hata mzungu,hajasafiri kokote.Na mtu wa kwanza kuumbwa duniani ni mtu mwenye rangi nyeusi,kwa mujibu wa Qur'an,kwamba ulitumika udongo mweusi ndio kuuba binadamu.
Mtu mweusi alizunguka dunia,hakutumia usafiri wowote,kwasababu alikuwa mrefu,mwenye afya,kwa kifupi katika Qur'an na hata Biblia,wametajwa hio mijitu mikubwa,ilikuwa ikivuka Bahari maji hayajavuka,unyao.Mwamba nakubali kwenye CREATION THEORY zpo mbili...ile ya Darwin tunaita scientific na ile ya biblical yaan kuhusu dini kama ilivoandkwa .,.lkn twende taratibu MWAFRIKA wa kwaza kwenda yeye mwenyew ULAYA hata kabla ya kina VASCO DA GAMA NA BARTHOLOMEW DIAZ hawajaja huku ni nan?? Je unaweza kunipa maandko yako yapo kitabu gan tuone huyo mweus aliaza safar karne gan alitoka pande ipi alitumia usafiri gan na alikaa ulaya au asia had kumix race kwa karne ngap
Sawaaa najua kuna stori ya GIANTS je unajua stori ya GOLIATH na Samson jee GOLIATH alikuwaa n mweus???Mtu mweusi alizunguka dunia,hakutumia usafiri wowote,kwasababu alikuwa mrefu,mwenye afya,kwa kifupi katika Qur'an na hata Biblia,wametajwa hio mijitu mikubwa,ilikuwa ikivuka Bahari maji hayajavuka,unyao.
Kuhusu waarabu ubaguzi wanao ila waarabu ni watu ambao ni wepesi kujichanganya na asili nyingine.In some countries, people of many races, ethnicities, and nationalities are accepted and welcomed. Others aren't so lucky. Racism is a tough characteristic to measure. Many countries lack centralized tracking systems for racist incidents. Indeed, a surprising number of countries do not maintain track of its citizens' race and ethnicity, making tracing racist acts against them extremely impossible.
As a result, researchers frequently turn to more grassroots methods like personal surveys—and while racism may not appear to be a particularly sophisticated characteristic, assessing whether or not someone is racist based on a simple questionnaire can be tough. All of this is to say that identifying the world's most racist countries is a challenging task, and the results might vary from study to study.
The World's Most Racist Countries (Washington Post and Business Tech results combined)
1. India.
2. Lebanon.
3. Bahrain.
4. Libya.
5. Egypt.
6. Philippines.
7. Kuwait.
8. Palestine.
9. South Africa.
According to the conclusions of the survey, India is the most racist of the countries examined. India, located in southern Asia, is the world's second most populous country, with 1.3 billion inhabitants. Residents of the country, according to polls, exhibit a high level of intolerance for persons with darker skin, whether they are of foreign ancestry (particularly Africans) or simply darker-skinned Indians. India has a low immigration rate and a small international population. As a result, the bulk of the people that live there are of Indian descent.
NOTE : In recent years, two separate and independent racism studies tested a total of 85,000 people from 61 nations, yielding results that differed from the BCR2020 but were comparable.
The first was a Washington Post poll done in 2013. The Key and basic question asked of each participant was if they would be comfortable living with someone of a different race. The second was a business experiment conducted in 2016. In a tech poll, respondents were asked if they had ever seen or experienced racism.
Source: Most Racist Countries 2021
Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka Afrika,kwenda huko,mashariki ya kati.Inasemekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na rab,chotara wa kizungu.)
Hawa waarabu wa asili,wapo baadhi ya sehemu,na kuna kisiwa kipo,Yemen,wapo wengi tu,ni mji wao.Hata ukifika nchi za kiarabu,waarabu Rangi sio weupe kama wazungu(wao ni machotara wa weusi na weupe).Mzungu anamuhesabu muarabu ni mtu mweusi,sio mtu mweupe(white)
Mijitu hiyo ya mwanzo ni Nephilim(wanefili).Halafu ndio goliath.Je King wa bashan,uliwahi kumsikia?Sawaaa najua kuna stori ya GIANTS je unajua stori ya GOLIATH na Samson jee GOLIATH alikuwaa n mweus???
Siyo kwamba kuna waarab weupe na waarabu weusi kama vile Wasudan?Mwarabu ni mtu mweusi sio mweupe,hao unaowaona weupe,ni mchanganyiko wa watumwa weupe,wazungu kutoka Ulaya ya mashariki,waarabu(wa asili weusi),kuoana na watumwa wa kizungu kutoka Ulaya ya mashariki.