9 December polisi msiwazuie waandamanaji

9 December polisi msiwazuie waandamanaji

1. Kama kichwa kinavyojieleza kuna watu wanapanga kurudi tarehe 9 Dec sio mbaya wakaribisheni vizuri kabisawasindikizeni mpango kazi uwe kama ifuatavyo.

1. Tumeshajua wanapenda kushambulia mwendo kasi, wekeni jamaa wenye silaha wasio na uniform wale wenye roho ngumu kabisa na kazi iwe moja tu -Ili waje tena january 12

2. Kuna yake majengo wanayopenda kuyaandama marefu na ya ccm humo pia wekeni jamaa wenye silaha bila uniform wawe na kazi moja tu - Ili waje tena January 12
3. Watakaoandamana kwa amani wasindikizwe vizuri kabisa tuone wanahitaji nini? sasa kuna wale majambazi lazima watakuwepo hao kazi ni moja tu - ili warudi tena january 12

4 Dozi itolewe kali mara 6 zaidi ili ukichaaa uwaishe wanaopa kurudi kuchoma choma vitu msiwadekezeeee mpka tupate kizazi cha wastaarabu china 1989 walishughulikiwa na hakika mpaka leo wapo very strict na public order

5. Mwisho sikilizeni club house hasa hasa diaspora wanavyojaribu kuchochea aisee mpka nasononeka
Club house diaspora ukiwasikiliza kama hutumii akili vizuri wanakuchota infact wanacheza na hisia pamoja na ushawishi tu hakuna la maana.

Vijana wakiacha kutumia hisia wakaanza kufikiria kwa kina Nina uhakika hizo club house zitakuwa kana wicked gossip tu.
 
Club house diaspora ukiwasikiliza kama hutumii akili vizuri wanakuchota infact wanacheza na hisia pamoja na ushawishi tu hakuna la maana.

Vijana wakiacha kutumia hisia wakaanza kufikiria kwa kina Nina uhakika hizo club house zitakuwa kana wicked gossip tu.
Club house diaspora ukiwasikiliza kama hutumii akili vizuri wanakuchota infact wanacheza na hisia pamoja na ushawishi tu hakuna la maana.
,
Vijana wakiacha kutumia hisia wakaanza kufikiria kwa kina Nina uhakika hizo club house zitakuwa kana wicked gossip tu.
UPO SAHIHI SANA UBAYA HAWANA JEMA HATA MOJA WANALOWAZIA TANZANIA NA HAWATOI ALTERNATIVE IDEAS , Wanasahau kila nchi ina changamoto zake na collectively tuzisolve
 
Wanaibua hisia za chuki tu na target yao kubwa ni kui-paralyze Serikali wanasahau kuwa wao pia wataparalyze, wanafikiri Serikali sijui ni kitu gani?. Wanapoidistub wanayoiita Serikali wanafusturb maisha ya wote na wao wakiwemo.

Ukifikiria critically utabaini kuwa wanachokipigia chapuo ni usumbugu wa maisha na uchumi wa Taifa kwa ujumla Lambo ambalo sidhani kama yupo mtu mwenye utimamu kidogo tu wa akili analipenda.

Ukifuatila hata uzalishaji katika kipindi hiki cha makelele umeshika sana, biashara nyingi zimedorora sana halafu bado wanayaka tuendelee kukaa katika hali hii hii bila ukomo. Jambo hili halimsaidii yoyote hata wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom