89% Hamtatazama wala kuona mkufu

89% Hamtatazama wala kuona mkufu

Binti anatekeleza kwa dhati dhana ya "Biashara ni matangazo"
 
Mimi naona hapo nyuma yake kuna Dust-bin anasubiri akamwage takataka nini?
 
Nimeangalia bei ni ndogo sana, kumbe ni 50,000 pamoja na mishauo yote hiyo. Ni vema angerudi kutangaza kipindi cha watoto RadioOne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom